Mafunzo ya urubani

Mafunzo ya urubani

concordile 101

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2013
Posts
6,980
Reaction score
15,405
Nina mdogo wangu alimaliza form mwaka juzi akawa amepata four. Nikampeleka chuo kusomea certificate bahati hakufanikiwa kumaliza sababu ya kuugua. Mwaka huu nataka nimrudishe chuo nimeangalia course zote na interest yake ya kupenda kuendesha hasa magari. Nilipomdokezea kuhusu uruban yaan alifurahi sana.

Ndugu naja kwenu ni jinsi gani anaweza kufanikisha ndoto zake. Naamini kuna njia hata ya kupitia diploma kugain commercial aircraft training.
Hata kama sio tz walau hata south africa. Ila cost isizidi usd10000 kwa mwaka kama school fees.naomben msaada wandugu
 
Nina mdogo wangu alimaliza form mwaka juzi akawa amepata four. Nikampeleka chuo kusomea certificate bahati hakufanikiwa kumaliza sababu ya kuugua. Mwaka huu nataka nimrudishe chuo nimeangalia course zote na interest yake ya kupenda kuendesha hasa magari. Nilipomdokezea kuhusu uruban yaan alifurahi sana.

Ndugu naja kwenu ni jinsi gani anaweza kufanikisha ndoto zake. Naamini kuna njia hata ya kupitia diploma kugain commercial aircraft training.
Hata kama sio tz walau hata south africa. Ila cost isizidi usd10000 kwa mwaka kama school fees.naomben msaada wandugu
0716 719 300 piga Number hiyo
utapewa maelezo
mkuu wa chuo cha urubani tanzania Aviation college
wapo Vizuri
 
Kuna chuo kizuri nimesahau jina ila dar es salaaam kipo tabata kamaenda segerea unashuka magengeni ni karibu na bank ya crdb hata ukiulizia mtu atakuonyesha
 
Back
Top Bottom