High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,083
Inaonekana kweli ulienda kucheki upepo
hapo hapashikiki nenda sehemu zingine
hapo hapashikiki nenda sehemu zingine
Hakuna njia nyingine zaidi ya MITUSI? kwa dunia ya LEO? ndio maana kati ya vitu unatakiwa uende navyo ni pasi ya mkaa, kweli? leo tunaongelea pasi ya mkaa? iliujifunze nini? kwa faida ipi?
Na rushwa wanajifunzia wapi?
Kwani sekta zingine wanajifunzia kabla hujauliza jiulize wewe mwenyewe
Una laana wewe na ugilesi wako...
Mbona wewe ni baa medi tuu na hatusemi kazi yako ya laana?
waliopoteza dira ndo kazi zao hizo
Kile chuo wanaomaliza ni askari wakakamavu tu.
Ukiishapita CCP utaweza kuishi sehemu yoyote duniani na kuvumilia matatizo ya kila aina mpaka ukafanikiwa
Mimi nimepiga miezi tisa pale CCP enzi za Mkisi R.I.P , RSM HARRISON NG'ECHI na AFANDE SAIMORA MASAGAMBA.
Ni kweli lugha zinazotumika na shuruba inayotolewa pale kama wewe ni mtoto wa mama huwezi maliza hata wiki
Ni aibu kwa mtoto wa kiume kuja hapa hadharani kulia kama unataka kubadilishwa nepi. CCP ni chuo cha kijeshi na watu kama wewe hamtakiwi kupita pale kwani hatutaki kuja kupata askari mdebwedo urojo wasio weza kudhibiti viroba na wahalifu
Na rushwa wanajifunzia wapi?
CCP yinatisha,wakiiva wanapelekwa operation KIMBUNGA,TOKOMEZA JANGILI & SAMBALATISHA CHADEMA.
wanafundishwa na jinsi ya kuongeza maambukizi ya ukimwi
huna akili wewe
waliopoteza dira ndo kazi zao hizo