usiniguse
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 1,724
- 1,188
- Thread starter
- #41
JE mkuu hakuna njia nyingine zaidi ya hii,mbona sioni wanapoenda kutuliza fujo wakatumia hayo matusi bali wanaenda kutoa kichapo
Mkuu usiniguse niliwahi kuambiwa kuwa jeshini kote matusi ni sehemu ya mafunzo ili ukikutana na raia akakutukana usipatwe na hasira (ukizingatia wanakuwa na siraha), au wewe askari utumie hayo matusi kuharasi pale inapobidi.