Mafunzo ya njiwa...


Mkuu,umenena mambo ya kweli. Nimejionea kwa miaka 6
 

Njiwa wa Tanga wanaweza!!
 

Unanikumbusha enzi za kombokombo zamani sana umenifanya ntamani kulia nkikumbuka
 
Ni kweri yte uloeleza hsa kutochukuliana madem tulikuwa tunabadilishana km una madume mawili araf mwenzako ana majike mawili mnabadilisha unampa jike anakupa dumee ilikuwa poa sana kitambo hcho mwananyamala home hyo namkumbuka jamaa yangu mmoja anaitwa rama mijicho tulikuwa tunafanya sana mchezo huo sm tyme JF inakupa raha sana
 
Makinda (watoto) wakifikia umri wa kujitegemea ufukuzwa bila huruma hivyo mfugaji lazima uongeze matundu. Kwa Malkia Elizabeth II wamejaa kwenye hii square jijini London.

 
Last edited by a moderator:


Itakuwa kuna ka UKWELI flani amazing.

Mjombangu alikuwa Sheikh, na alikuwa mfugaji mzuri wa njiwa, jirani yetu kulikuwa na "BIBI wa busara", ajabu njiwa wa mjomba walikuwa wengi kiasi baadhi kuhamia kwa majirani lkn hawakuwahi kuhamia kwa Bibi huyu!
 

Wakati wa utoto wangu, hii kazi ya kuwapa njiwa taarifa za msiba nilikuwa naifanya Mimi kwa niaba ya mjombangu mfugaji!

Hata njiwa wa nyumba za jirani, nilikuwa naenda kuwapa taarifa huku nikiwa nawapa mtama!

Taarifa za kazi yangu hii zilifika shuleni, wengi walikuwa wananshangaa!
 
Zile mechi za kishule ama mtaani, tukiwa wadogo, nlikuwa ili kuwatisha tu wapinzani, naenda uwanjani na njiwa niliemfunga hirizi mguuni na kumrusha hewani! Ile taharuki ilikuwa burudani tosha
 
Hiyo nzuri iandikie then uitoe gazetini. Ji moja ya tafiti nzur ya kipekee. Unaweza kwenda mbali zaidi kuwachunguza na ikakutoa kimaisha
 
Makinda (watoto) wakifikia umri wa kujitegemea ufukuzwa bila huruma hivyo mfugaji lazima uongeze matundu. Kwa Malkia Elizabeth II wamejaa kwenye hii square jijini London.


Asante sana Mkuu Mwanamayu kwa video yako. Imenogesha mada yangu
 
Last edited by a moderator:
Sijawahi kutamani kuwafuga hawa ndege.
 
Daaaah....nasisimka balaa nikiisoma hii story za njiwa. Natamani niisome kila mara. Nimeipenda sana na nitajawafuga tu lazima. Inshallah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…