Mafunzo ya Meditation Bure. Ni Kupitia Brahima Kumaris Meditation Centre!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,467
113,553
Wanabodi,

Kwa wapenzi wa meditation, na wasiojua kuhusu meditation fursa ni hii!.

  • image.tiff
    Brahma Kumaris Brochure back.jpg
    Brahma Kumaris Brochure front.jpg
 
Hiyo ndio ile una-assume unapita juu ya barabara lakini ukweli unapita juu ya maji Na hauzami???
Pia nlipata kusikia kua unaweza kuongea na mtu alieko mbali, labda Japan bila kutumia kifaa chochote kama simu, kisha uka-assume anakusikia nae akakusikia kweli mkaelewana!!
 
Mtu yeyote anayedhani kwamba yeye ni mkiristo ajiepushe na UOVU HUU, Huyu Pasco asiwadanganye ni kujitambulisha kwake kwamba ni mkatoriki lakini anashiriki katika UOVU HUU ili kujustify rightiousness ya UOVU HUU. Kwanza Ukatoriki sio Ukiristo kama statement ya Pasco ina lengo lolote la kuonyesha hivyo.

Biblia ambayo ndio Muongozo wa Imani ya Mkirsto inasema hivi kuhusu Meditation
"O how Love I your Law! It is my meditation all the day" Psalm 119:97 na hapa "Mine eyes prevent the night watches, that I might meditate in your word" Psalm 119:48. Simple and clear, kama unataka kumedidate fanya hivyo kwa kulitafakali neno/sheria ya Mwenyezi Mungu wako usiku na mchana. Njia nyingine yoyote ya kufanya hivi ni UOVU. KAENI MBALI NA UOVU HUU
 
Mtu yeyote anayedhani kwamba yeye ni mkiristo ajiepushe na UOVU HUU, Huyu Pasco asiwadanganye ni kujitambulisha kwake kwamba ni mkatoriki lakini anashiriki katika UOVU HUU ili kujustify rightiousness ya UOVU HUU. Kwanza Ukatoriki sio Ukiristo kama statement ya Pasco ina lengo lolote la kuonyesha hivyo.

Biblia ambayo ndio Muongozo wa Imani ya Mkirsto inasema hivi kuhusu Meditation
"O how Love I your Law! It is my meditation all the day" Psalm 119:97 na hapa "Mine eyes prevent the night watches, that I might meditate in your word" Psalm 119:48. Simple and clear, kama unataka kumedidate fanya hivyo kwa kulitafakali neno/sheria ya Mwenyezi Mungu wako usiku na mchana. Njia nyingine yoyote ya kufanya hivi ni UOVU. KAENI MBALI NA UOVU HUU
.
Mkuu Sangarara, ukizaliwa gizani na kuishi ziku zote gizani, atakaeleta mwanga wa mshumaa, na kukuambia huo ndio mwanga mkubwa kuliko yote, utaamini!. Sasa utakapoliona jua, unaweza hata kupofuka!. Knowledge yako kwenye Biblia Takatifu ni huo mwanga wa mshumaa, fanya meditation hata wewe mwenyewe tuu, ufunuliwe ili ulione jua!.

Kwa wote wasiojua kuhusu meditation, msiwe na wasiwasi kwa sababu, life goes on, "you can never miss something you never had"!.

Wengi wetu mnafikiri kuna watu wamezaliwa kuwa masikini milele na wengine kuwa matajiri!, no!. Watu ni masikini kwa sababu they never had the opportunities to change their lives, na matajiri had not only the opportunities, but they seize them!. Jumamosi ni siku ya opportinity yako wewe kujitambua na kufungua doors of opportunities kubadili maisha yako for good!. The choice is yours, endelea kuishi hivyo unavyoishi as long as umeridhika and your happy!. Bali kwa wale wanaotaka to change for the better!, you are most welcome!.

Wewe hivi unajua Yesu alipopanda mlimani na kuwaacha Peter na Yohana mpaka akawakuta wamesinzia, alikwenda kufanya nini?.

Hivi kusali kwa dhadi ni kufanya nini?, au wewe unaamini kusali kwa makelele mpaka kulia ndio Mungu anasikia sana?!.

Hivi unajua Yesu kabla hajafanya miujiza huwa anafanya nini kwanza?.

Hebu nenda pale St. Joseph, angalia watu wanaokuja kanisani na kujikalia kimya tuu, wanafanya nini?.

Jee unajua kitu kinaitwa "serenity?", unajua kinapatikanaje?.

Open up!.
 
Who is Satan?, hivi mwanzoshetani hakuwa malaika?, wewe una uwezo wa kujua Mungu alianzaje?, kwa kukusaidia tuu, jinsi Mungu alivyoanza, ndivyo hivyo shetani alivyoanza!.

Mungu ana nguvu za ki Mungu na shetani ana nguvu za kishetani.

Bwana wetu Yesu Kristo alisema, siku za mwisho, watakuja watu, watafanya miujiza na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu!. Kwa hali ilivyo sasa, kama huna uwezo wa maono, utajuaje huko unakoabudu wewe ndiko?!.

Meditation inakupa ufahamu, awareness na enlighment kuona yasionekanika kwa naked eyes, na kusikia voices from within itakayo kupa kweli!.

Mimi hapa nilipo, hata kwa kutazama tuu kwenye TV naweza kuona wahubiri kibao wakifanya miujiza kwa jina la Yesu ila kiukweli wanamtumikia shetani!.
 
Hiyo ndio ile una-assume unapita juu ya barabara lakini ukweli unapita juu ya maji Na hauzami???
Pia nlipata kusikia kua unaweza kuongea na mtu alieko mbali, labda Japan bilau kutumia kifaa chochote kama simu, kisha uka-assume anakusikia nae akakusikia kweli mkaelewana!!
Kwa tusiojua maana ya Hi yo kitu, tunaweza kuamini hii tafsiri ya bwana
hapo juu??
 
.
Mkuu Sangarara, ukizaliwa gizani na kuishi ziku zote gizani, atakaeleta mwanga wa mshumaa, na kukuambia huo ndio mwanga mkubwa kuliko yote, utaamini!. Sasa utakapoliona jua, unaweza hata kupofuka!. Knowledge yako kwenye Biblia Takatifu ni huo mwanga wa mshumaa, fanya meditation hata wewe mwenyewe tuu, ufunuliwe ili ulione jua!.

Kwa wote wasiojua kuhusu meditation, msiwe na wasiwasi kwa sababu, life goes on, "you can never miss something you never had"!.

Wengi wetu mnafikiri kuna watu wamezaliwa kuwa masikini milele na wengine kuwa matajiri!, no!. Watu ni masikini kwa sababu they never had the opportunities to change their lives, na matajiri had not only the opportunities, but they seize them!. Jumamosi ni siku ya opportinity yako wewe kujitambua na kufungua doors of opportunities kubadili maisha yako for good!. The choice is yours, endelea kuishi hivyo unavyoishi as long as umeridhika and your happy!. Bali kwa wale wanaotaka to change for the better!, you are most welcome!.

Wewe hivi unajua Yesu alipopanda mlimani na kuwaacha Peter na Yohana mpaka akawakuta wamesinzia, alikwenda kufanya nini?.

Hivi kusali kwa dhadi ni kufanya nini?, au wewe unaamini kusali kwa makelele mpaka kulia ndio Mungu anasikia sana?!.

Hivi unajua Yesu kabla hajafanya miujiza huwa anafanya nini kwanza?.

Hebu nenda pale St. Joseph, angalia watu wanaokuja kanisani na kujikalia kimya tuu, wanafanya nini?.

Jee unajua kitu kinaitwa "serenity?", unajua kinapatikanaje?.

Open up!.

Baelezeee mkuu......................
 
Who is Satan?, hivi mwanzoshetani hakuwa malaika?, wewe una uwezo wa kujua Mungu alianzaje?, kwa kukusaidia tuu, jinsi Mungu alivyoanza, ndivyo hivyo shetani alivyoanza!.

Mungu ana nguvu za ki Mungu na shetani ana nguvu za kishetani.

Bwana wetu Yesu Kristo alisema, siku za mwisho, watakuja watu, watafanya miujiza na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu!. Kwa hali ilivyo sasa, kama huna uwezo wa maono, utajuaje huko unakoabudu wewe ndiko?!.

Meditation inakupa ufahamu, awareness na enlighment kuona yasionekanika kwa naked eyes, na kusikia voices from within itakayo kupa kweli!.

Mimi hapa nilipo, hata kwa kutazama tuu kwenye TV naweza kuona wahubiri kibao wakifanya miujiza kwa jina la Yesu ila kiukweli wanamtumikia shetani!.
Well said................Mkuu Pasco wengi bado wako gizani hadi leo................
 
.
Mkuu Sangarara, ukizaliwa gizani na kuishi ziku zote gizani, atakaeleta mwanga wa mshumaa, na kukuambia huo ndio mwanga mkubwa kuliko yote, utaamini!. Sasa utakapoliona jua, unaweza hata kupofuka!. Knowledge yako kwenye Biblia Takatifu ni huo mwanga wa mshumaa, fanya meditation hata wewe mwenyewe tuu, ufunuliwe ili ulione jua!.

Kwa wote wasiojua kuhusu meditation, msiwe na wasiwasi kwa sababu, life goes on, "you can never miss something you never had"!.

Wengi wetu mnafikiri kuna watu wamezaliwa kuwa masikini milele na wengine kuwa matajiri!, no!. Watu ni masikini kwa sababu they never had the opportunities to change their lives, na matajiri had not only the opportunities, but they seize them!. Jumamosi ni siku ya opportinity yako wewe kujitambua na kufungua doors of opportunities kubadili maisha yako for good!. The choice is yours, endelea kuishi hivyo unavyoishi as long as umeridhika and your happy!. Bali kwa wale wanaotaka to change for the better!, you are most welcome!.

Wewe hivi unajua Yesu alipopanda mlimani na kuwaacha Peter na Yohana mpaka akawakuta wamesinzia, alikwenda kufanya nini?.

Hivi kusali kwa dhadi ni kufanya nini?, au wewe unaamini kusali kwa makelele mpaka kulia ndio Mungu anasikia sana?!.

Hivi unajua Yesu kabla hajafanya miujiza huwa anafanya nini kwanza?.

Hebu nenda pale St. Joseph, angalia watu wanaokuja kanisani na kujikalia kimya tuu, wanafanya nini?.

Jee unajua kitu kinaitwa "serenity?", unajua kinapatikanaje?.

Open up!.

I hope ulienda Jumamosi, hemu tuwekee hapa taarifa tuzitafari pamoja.
 
.
Mkuu Sangarara, ukizaliwa gizani na kuishi ziku zote gizani, atakaeleta mwanga wa mshumaa, na kukuambia huo ndio mwanga mkubwa kuliko yote, utaamini!. Sasa utakapoliona jua, unaweza hata kupofuka!. Knowledge yako kwenye Biblia Takatifu ni huo mwanga wa mshumaa, fanya meditation hata wewe mwenyewe tuu, ufunuliwe ili ulione jua!.

Kwa wote wasiojua kuhusu meditation, msiwe na wasiwasi kwa sababu, life goes on, "you can never miss something you never had"!.

Wengi wetu mnafikiri kuna watu wamezaliwa kuwa masikini milele na wengine kuwa matajiri!, no!. Watu ni masikini kwa sababu they never had the opportunities to change their lives, na matajiri had not only the opportunities, but they seize them!. Jumamosi ni siku ya opportinity yako wewe kujitambua na kufungua doors of opportunities kubadili maisha yako for good!. The choice is yours, endelea kuishi hivyo unavyoishi as long as umeridhika and your happy!. Bali kwa wale wanaotaka to change for the better!, you are most welcome!.

Wewe hivi unajua Yesu alipopanda mlimani na kuwaacha Peter na Yohana mpaka akawakuta wamesinzia, alikwenda kufanya nini?.

Hivi kusali kwa dhadi ni kufanya nini?, au wewe unaamini kusali kwa makelele mpaka kulia ndio Mungu anasikia sana?!.

Hivi unajua Yesu kabla hajafanya miujiza huwa anafanya nini kwanza?.

Hebu nenda pale St. Joseph, angalia watu wanaokuja kanisani na kujikalia kimya tuu, wanafanya nini?.

Jee unajua kitu kinaitwa "serenity?", unajua kinapatikanaje?.

Open up!.
ok! sawa tuna meditate, tuna meditate nini? kuarchieve spiritual riberation, ipi? na, tunaliberate kutoka katika utawala wa nani? ndugu yangu pasco, hebu tuliza kichwa kwanza utueleze kwa kirefu, isije ikawa na wewe hujui unachokifanya tukusaidie. hayo mafunzo ya kumeditate, tunamtafakari Mungu huyu aliyeziumba mbingu na nchi au satan? maana huko nako kuna power meditation. kama hujui unachokitangaza ndugu yangu nikusihi tu uishie hapo unless umeamua kuwa wakala wa kumtangaza satan. kaka yangu pasco, zipo zambi nyingi sana za kukufanya uende jehanam, ya nini kuifanya hii kazi isiyokuwa na faida?(labda kama unalipwa na kwa akili zako timamu umeamua kumkana muumba wako, its ok). just think twice my brother. GOODLUKY
 
Who is Satan?, hivi mwanzoshetani hakuwa malaika?, wewe una uwezo wa kujua Mungu alianzaje?, kwa kukusaidia tuu, jinsi Mungu alivyoanza, ndivyo hivyo shetani alivyoanza!.

Mungu ana nguvu za ki Mungu na shetani ana nguvu za kishetani.

Bwana wetu Yesu Kristo alisema, siku za mwisho, watakuja watu, watafanya miujiza na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu!. Kwa hali ilivyo sasa, kama huna uwezo wa maono, utajuaje huko unakoabudu wewe ndiko?!.

Meditation inakupa ufahamu, awareness na enlighment kuona yasionekanika kwa naked eyes, na kusikia voices from within itakayo kupa kweli!.

Mimi hapa nilipo, hata kwa kutazama tuu kwenye TV naweza kuona wahubiri kibao wakifanya miujiza kwa jina la Yesu ila kiukweli wanamtumikia shetani!.
Noo! unacho sema sio cha kweli Pasco, acha kujihalalishia unachokiamini kuwa ndio kusudi la Mungu. remember, there are only two spiritual kingdoms(Almighty God's kingdom and Satanc/darkness kingdom). hakuna nguvu nyingine hapa katikati inayoweza ku kupambanulia uongo au ukweli uliomo katika hizi falme mbili. kusinge kuwa na maana Yesu kusema "nitawaletea msaidizi"(roho mtakatifu) kama tungekuwa na uwezo wa kuzipambanua hizi roho wenyewe. sasa huko kupambanua roho zidanganyazo kwa kutumia akili/uwezo wako mwenyewe, si ni sawa na mfanya Mungu ni muongo? je, kauli yako inatofauti gani na kauli ya yule nyoka pale edeni? TAFAKARI!!
 
Back
Top Bottom