Khawarizm
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 203
- 230
raw materials za kutengenezea huo mkaa ni zipi?
Pumba kapi za mpunga, maganda na unga wa mbao, mabuwa ya mahindi au mtama, vifuru vya nazi, anyone of these na ukichanganya na jothra au jina jingine m'bono ndio inakuwa kiboko.
Unahitaji kusindika hivyo vitu kwa kutumia pellet making machine au briquettes making machine. Kama huna hiyo unaweza kuunda yako mwenyeyewe kwa kutumia mbao na bomba.