Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

Status
Not open for further replies.

Biashara2000

JF-Expert Member
Nov 9, 2013
636
540
Habari.

Wiki iliyopita nilitangaza humu JF kuwa nauza moja ya mashine zangu za kutengeneza mkaa wa kisasa sababu ikiwa ni kuongeza mashine kubwa kwa ajili ya kuongeza uzalishaji. Baada ya siku chache nikafanikiwa kuiuza. Nashukuruni kwa watu wote mlioniandikia msg. Karibu wote wameniandikia wakiniomba niwaelekeze jinsi mkaa huo unavyotengenezwa. Kuna wengine wao wameniomba waje watembelee mradi waone hiyo mashine nimewapa namba yangu. Na kuna wengine wameniomba niwaeleze jinsi ya kutengeneza mkaa huu bila kutumia mashine kwa kuwa hawawezi ku afford kununua mashine hizi.

Inawezekana kutengeneza mkaa huu nyumbani kwako kama una eneo la kutosha bila kuwa na mashine. Ila utahitaji pipa au mdoo ya bati. Naweza kutoa mafunzo kwa watu wanaotaka. Gharama yake ni sh. 45,000/=. Mafunzo haya ni kwa mkazi anayeishi Dar. Kutengeneza bila kutumia mashine utakuwa unatengeneza gunia 1 - 2 au zaidi kwa siku kutegemeana na spidi ya mikono yako. So kwa kuweka investment ya 45000/=, ndani ya siku 2 za uzalishaji utakuwa usharudisha investment yako (kama utakuwa unatengeneza gunia 2). Namba yangu ni 0758 308193.

Asanteni
 
Habari.

Wiki iliyopita nilitangaza humu JF kuwa nauza moja ya mashine zangu za kutengeneza mkaa wa kisasa sababu ikiwa ni kuongeza mashine kubwa kwa ajili ya kuongeza uzalishaji. Baada ya siku chache nikafanikiwa kuiuza. Nashukuruni kwa watu wote mlioniandikia msg. Karibu wote wameniandikia wakiniomba niwaelekeze jinsi mkaa huo unavyotengenezwa. Kuna wengine wao wameniomba waje watembelee mradi waone hiyo mashine nimewapa namba yangu. Na kuna wengine wameniomba niwaeleze jinsi ya kutengeneza mkaa huu bila kutumia mashine kwa kuwa hawawezi ku afford kununua mashine hizi.

Inawezekana kutengeneza mkaa huu nyumbani kwako kama una eneo la kutosha bila kuwa na mashine. Ila utahitaji pipa au mdoo ya bati. Naweza kutoa mafunzo kwa watu wanaotaka. Gharama yake ni sh. 45,000/=. Mafunzo haya ni kwa mkazi anayeishi Dar. Kutengeneza bila kutumia mashine utakuwa unatengeneza gunia 1 - 2 au zaidi kwa siku kutegemeana na spidi ya mikono yako. So kwa kuweka investment ya 45000/=, ndani ya siku 2 za uzalishaji utakuwa usharudisha investment yako (kama utakuwa unatengeneza gunia 2). Namba yangu ni 0758 308193.

Asanteni

Hongera sana bwana.Watu kama nyie ndo tunaowahitaji. Mnaamua kusaidia wenzenu kujikomboa kutoka katika umaskini katika kipindi hiki cha uchumi mgumu. Kudos!
 
Kuna watu wananiuliza kuhusu soko la mkaa kama linapatikana kirahisi au vipi. Ukiangalia data zilizotolewa na serikali ktk moja ya habari ktk gazeti la mwananchi november 2012 ni kuwa mkaa wote unaozalishwa na kuuzwa dar kila siku siku unatosheleza asilimia 3 tu ya mahitaji yote ya mkaa yanayohitajika. So soko lipo kubwa sana. Mkaa unahitsjika sana kwa matumizi ys watz. Kwa kuwa wewe utauzalisha kwa gharama ndogo then utauuza kwa bei ndogo na hiyo ndio itakayowavutia watu kuununua mkaa wako kirahisi ukichanganya na faida nyinginezo. Kwahiyo tumieni mafunzo haya niliyoysweka kwa bei nzuri ili muweze kujiingizia kipato chenu.
 
Habari.

Wiki iliyopita nilitangaza humu JF kuwa nauza moja ya mashine zangu za kutengeneza mkaa wa kisasa sababu ikiwa ni kuongeza mashine kubwa kwa ajili ya kuongeza uzalishaji. Baada ya siku chache nikafanikiwa kuiuza. Nashukuruni kwa watu wote mlioniandikia msg. Karibu wote wameniandikia wakiniomba niwaelekeze jinsi mkaa huo unavyotengenezwa. Kuna wengine wao wameniomba waje watembelee mradi waone hiyo mashine nimewapa namba yangu. Na kuna wengine wameniomba niwaeleze jinsi ya kutengeneza mkaa huu bila kutumia mashine kwa kuwa hawawezi ku afford kununua mashine hizi.

Inawezekana kutengeneza mkaa huu nyumbani kwako kama una eneo la kutosha bila kuwa na mashine. Ila utahitaji pipa au mdoo ya bati. Naweza kutoa mafunzo kwa watu wanaotaka. Gharama yake ni sh. 45,000/=. Mafunzo haya ni kwa mkazi anayeishi Dar. Kutengeneza bila kutumia mashine utakuwa unatengeneza gunia 1 - 2 au zaidi kwa siku kutegemeana na spidi ya mikono yako. So kwa kuweka investment ya 45000/=, ndani ya siku 2 za uzalishaji utakuwa usharudisha investment yako (kama utakuwa unatengeneza gunia 2). Namba yangu ni 0758 308193.

Asanteni

Upo vema sana aiseee.

Anytime nakuja kukucheki apo,umeniongezea kitu katika maisha...

Na kuhusu mashine kama ao jamaa wapo itakuwa vema zaidi nikapata moja kubwa.

Ubarikiwe.
 
Ukitaka kujua nakushauri chukua mafunzo.

Mkuu,
thread yako is very useful, lakini sidhani kama ukitaja raw materials basi utaibiwa ujuzi wako..

Hata hivyo ili uitwe mkaa (wa kutoa nishati) ni lazima miti ihusike.. Zaidi ya hapo si mkaa ni kitu kingne..

Sikupondi, ila najaribu kufikiri unapomwambia mtu njoo ulipie upate mafunzo, halafu husemi raw materials ni zipi, unadhani atajuaje kama na mazingira yake zipo?? Akilipia akaja kwenye mafunzo na kugundua hana access na hzo materials hela utamrudishia? Labda kama raw materials ni maji au hewa whch is everywhre..

Zaidi ya hapo be smart!

All the best in 'collection'..
 
Mkuu,
thread yako is very useful, lakini sidhani kama ukitaja raw materials basi utaibiwa ujuzi wako..

Hata hivyo ili uitwe mkaa (wa kutoa nishati) ni lazima miti ihusike.. Zaidi ya hapo si mkaa ni kitu kingne..

Sikupondi, ila najaribu kufikiri unapomwambia mtu njoo ulipie upate mafunzo, halafu husemi raw materials ni zipi, unadhani atajuaje kama na mazingira yake zipo?? Akilipia akaja kwenye mafunzo na kugundua hana access na hzo materials hela utamrudishia? Labda kama raw materials ni maji au hewa whch is everywhre..

Zaidi ya hapo be smart!

All the best in 'collection'..

bora umenisaidia mkuu, yaani hapo blue kama ulikuwepo kwenye akili yangu. yaani yeye kutaja raw materials tu kaona kama ujuzi wake utapotea, hawezi kuwa mchoyo kiasi hiki. nilitaka nihudhurie ila tu natatizika kuanza kusoma mambo ambayo nitashindwa kuyafanyia kazi.
 
Mashine ya kutengeneza mkaa inauzwa sh ngapi na inauzwa wapi?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mkuu,
thread yako is very useful, lakini sidhani kama ukitaja raw materials basi utaibiwa ujuzi wako..

Hata hivyo ili uitwe mkaa (wa kutoa nishati) ni lazima miti ihusike.. Zaidi ya hapo si mkaa ni kitu kingne..

Sikupondi, ila najaribu kufikiri unapomwambia mtu njoo ulipie upate mafunzo, halafu husemi raw materials ni zipi, unadhani atajuaje kama na mazingira yake zipo?? Akilipia akaja kwenye mafunzo na kugundua hana access na hzo materials hela utamrudishia? Labda kama raw materials ni maji au hewa whch is everywhre..

Zaidi ya hapo be smart!

All the best in 'collection'..

Kifupi ni kuwa hizi raw material ziko kila mahali na mtu yeyote anaweza zipata alipo
 
Habari

Hii ni kwa wale wote walioko mbali ya Dar na Kibaha. Watu wengi walioko mikoani wameenipigia wakiniuliza kama wanaweza pata material ambayo naweza watumia wakajifunza na kuanza kutengeneza mkaa right away maana wako so interested. Basi nimeona niwasikilize kilio chao.

Kuna kitabu ambacho nimekiandaa kina mafunzo haya ya kutengeneza mkaa wa kisasa kwa ajili ya wale wote walioko mbali ya Dar na Kibaha. Kitabu hiki kinakufundisha kuanza mradi wa kutengeneza mkaa kwa mkono ukiwa na mtaji wa shilingi 5000 tu na kipato chako kikawa sh. 30,000 kwa siku na pia kina mafunzo na picha za jinsi ya kutengeneza mkaa kwa kutumia mashine iwapo una mpango wa kununua mashine soon.

Wanaohitaji kitabu hiki wawasiliane na mimi kwa 0758 308193 na kinauzwa kwa sh. 10,000 tu. Kifupi ni kuwa una invest sh. 10,000 ya kitabu na unaandaa mtaji wa sh. 5000 tu unaanza biashara ya kutengeneza mkaa ambayo itakuwezesha kutengeneza sh 30,000 kila siku. Dili zur hilo!

Asanteni kwa support yenu.
 
Aaaah this sounds like ule mkaa utokanao na makaratasi au siyo!? Funguka bana ili watu wajue na wapate mavituzi ya kuwaondolea umasikini!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom