Mafundi umeme wa magari msaada

profesawaaganojipya

JF-Expert Member
Apr 21, 2015
1,485
3,134
Taa za mbele(bim na full)zote haziwaki, lakini pass light zinawaka, indicator zote zinawaka,na hazard zinawaka, gari ni RUNX 2005,INZ,nimefanya yafuatayo

1. Pale kwenye fuse box ya engine slots za taa za mbele ziko empty,hazina fuse(HEAD RH,HEAD LH),ila fuse zingine zote nzima.

2. Relay ya taa(ya 5pin),ni nzima na iko vizuri.

3. Nikitoa relay nikawasha gari,na kuwasha taa(low bim,au full),then nikapima na mita kwenye slots za relay,za coil sipati umeme wowote.

4.nimefungua relay nimeipa moja kwa moja 12vdc ina make vizuri tu..

Nimeishia hapo naomba msaada,fuse za ndani zote nimepima ni nzima,relay ya taa hiyo hapo pichaView attachment 2743006
 
mm siyo fundi wa magari Ila naweza kukupa some algorithms kwanza

. Taa huwa znawaka kwa intensity tofauti kwa njia mbili eidha uongeze current flow au upunguze current flow na njia ya pili ni kwa kutumia pulse modulation.

2. Njia ya pili ni best(pulse) na ndio nadhan magar kwa technologia yake ilikowa kubwa na yakisasa Ila kam hizo taa zinakuwa switched na relay bhas njia ya kwanza ndo hutumika

3. step ya kwanza : angalia card inayocontrol taa husika. Kisha angalia Kama volt znaingia.
Step ya pili: Kama kutakuwa na ic yeyote basi tsfuta datasheet yake kisha angalia input pins na output pins kam znaingiz volt (Mara nying huwa hazizid 5volt)

Step: ukion haziingiz volt bhas huenda ikawa volt hazifiki au kadi inashoti na ukion inaingiza na haitoa bas kadi mbovu.

Step: ikiwa kadi mbovu bhas disconnect from power then chukua multimeter Pima component moja moja km zoez litakuwa gumu bhas design nyingne au nunua mp ya.
 
Back
Top Bottom