UMASIKINI BWANA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 942
- 567
Hi great thinkers.
Leo mchana nimejikuta namtamkia fundi uashi nanukuu "hivi wewe una laana?" akanijibu mbovu nikampa vitasa kadhaa mdomoni. Hivi sasa kavimba mdomo eti kaenda kunishitaki nimemvimbisha mdomo Kwa ngumi.
Tatizo kala 3/4 ya pesa yote halafu anakuja site anashinda kilabuni. Cement kila mara anakuja eti imeisha kumbe anauza.
Si chini ya mafundi wanne wameniliza
Leo mbwaimbwai nitahakikisha uso unachakaa.
Hivi huwa wana laana?
Mi siwaelewi.
Leo mchana nimejikuta namtamkia fundi uashi nanukuu "hivi wewe una laana?" akanijibu mbovu nikampa vitasa kadhaa mdomoni. Hivi sasa kavimba mdomo eti kaenda kunishitaki nimemvimbisha mdomo Kwa ngumi.
Tatizo kala 3/4 ya pesa yote halafu anakuja site anashinda kilabuni. Cement kila mara anakuja eti imeisha kumbe anauza.
Si chini ya mafundi wanne wameniliza
Leo mbwaimbwai nitahakikisha uso unachakaa.
Hivi huwa wana laana?
Mi siwaelewi.



