Kwan wewe hujasoma hapo juu kama yupo jamaa anahitaji kiooNina kioo cha samsung note 2
Kwa anae hitaji au mwenye saket yake tobonge
Hyo muone fundi karibu yako anaweza kukuwekea nyingine au kuchek tatzo lilipo kwanza hizo ni za kupachika tuWakuu, simu yangu galaxy note 4 inazingua kwenye audio jack. Nkiweka earphone haipigi kabisa
Ni simu ya aina gani na aliyeflash nansimu inagoma kuwaka baada ya kuflash msaada
Tecno M5 kazi ya fundiNi simu ya aina gani na aliyeflash nan
Na aliiflash ikiwa na matatizo yapiTecno M5 kazi ya fundi
aimalizii kubootNa aliiflash ikiwa na matatizo yapi