varangati
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,727
- 1,622
MbagalaKwan unapatikana wapi
MbagalaKwan unapatikana wapi
Je kioo hakitouch kabisa?
Simu ya aina gani na source ya tatzo no lipi
Nipo boss,hyo simu inashida gani mpaka unataka uflashiwe?Anayeweza kuflash meizu mx4 pro Njoo pm
Simu ya aina gani na source ya tatzo no lipi
waliniambia niagize nigeria na kuna mtu special wa haya mambo, je wewe una uzoefu nayo aya mambo?Ndio chakushangaza maana ckutegemea kuwa ha tecno spea zake zaweza kuwa adimu kiasi hiki
Hapana na mimi hapa ndio nawaza ni wapi nitaipata maana mtu kaenda tecno customer care kakosa hadi nimejaribu kama online inauzwa hata sijaona imetajwa mahalkwaliniambia niagize nigeria na kuna mtu special wa haya mambo, je wewe una uzoefu nayo aya mambo?
Upo maeneo yapi mheshimiwaAsee nna simu yangu sumsang j7 inasumbua sana,nmeshaipeleka Kwa mafundi zaidi ya Wa 3 ila wote wamefail,simu haiingizi chaji ikiwa imewaka na ukiizima unaingiza Kwa mtindo Wa kuingiza na kuaxha..fudi wa kwanza alibadilisha system xharge ikagoma Wa Pili alishikashika ikagoma huyu Wa mwisho naealibadilisha kitu gani sijui naxho wapi..kama kuna fundinanaeza tibu ili tatizo tafadhali anisaidie..
Niko dar mkuu,ilala.Upo maeneo yapi mheshimiwa
Mbona huko wataalam kibao haiwez kuwashinda woteNiko dar mkuu,ilala.
Niko dar mkuu,ilala.
Samsung note 4 imekufa display ila mashine bado inafanya kazi. Nipeni bei