Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,018
- 9,742
simu yangu samsung s8 touch yake imeacha kufanya kazi ghafla. nimejaribu kubadili screen ila bado tatzo pale pale. Je tatizo linaweza kuwa nini?
Wanasubiria hardware mpya waulize tena maswali.Huu Uzi naona mafundi washamaliza shida zao....maana post zina mwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Feature phone au smartphone.Hivi vi Simu vya itel vinatabia ya kutoonesha maandishi nn tunatatua vp
Sent using Jamii Forums mobile app
ivo ivo unauza?????Jamani mwenye display ya samsung A8 aje pm tufanye biashara
Sorry kwa kuchelewa.....Ni za batanFeature phone au smartphone.
Chomeka earphones pin then utoe...kama shida itaendelea peleka kwa Fundi Wa hardware.... Atarekebishasimu yangu imepata tatizo, inasoma ear phone wakati sijaichomeka nimehangaika imegoma, natatuaje wakuu? maana haitoi sauti,,,,, SIMU WX3
kazi ya hardware ni ngumu sana na yenye lawama nyingi.
kuna simu unaweza ukaifungua ukaifunga na ikagoma kuwaka na wakati huo mteja alileta umbadlishie mic tu. na ukatemgeneza ugomvi mkubwa na mteja na akasema umembadilishia saketi na mnaweza kufikshana hata polisi mteja kama sio muelewa.
tatizo linakuwa wapi?
inamaana wakati unaifungua hiyo simu ulitoa betri bila kuzima simu. kwahiyo unapo toa betri hakikisha unazima simu.
na ikizima hivyo solution yake simu inatakiwa iende ikaflashiwe.
lakini tatizo lingine hawa mafundi software wanatuangusha sana mafundi hardware huwa hawataki kukomaa kabisa na wanapenda kazi rahisi rahisi na sijajua tatizo nini kwamba mazingira yanawabana au vipi.
kwasababu wao simu nyingi ukiwapelekea za kuflash. wanakuambia memory imekufa au kwenye computer haisomi lakini ukipima njia za usb ziko safi.
kazi ya hardware inahitaji akili yako zaidi tofauti na majamaa wanao deal na software wao kila kitu wanagoogle.
sisi upande hardware kuna baadi simu hata ugoogle vipi huwezi kupata solution hasa hizi tecno.
na ktk matatizo ya simu ambayo yanawatesa mafundi simu ni haya matatizo ya tecno.
na hii tuseme ukweli tecno na simu ya kimaskini na ndio maana kila mtanzania mwenye kipato cha chini anakimbilia.
na tecno ni simu ambayo matatizo yake ni pasua kichwa na ndio maana tatizo lolote ukiwapelekea tecno wenyewe wanakimbilia kubalisha saketi.
mm ni fundi ambaye natengeneza simu nyingi ambazo mafundi huwa wanzangu wanazishindwa.
siri ya ufundi simu.
1 ni kujua kuitumia mita vizuri 2 kujua kutumia gani vizuri 3 kuwa msafi 4 na kuwa mkweli.
kuna baadhi simu za tecno ambazo mafundi simu walisha kata tamaa kwamba hazi tengezeki lakini leo nitawapa baadhi ya solution kadri muda utakavyo kuwa unaniruhusu.
na kama hata ww utakuwa unasolution yoyote tutaomba tuzidi kusaidina.
tecno h5 p5 m3 hizi simu zimekuwa na tazizo sugu ukitaka kuiwasha tu inakuwa inajiminya button ya kujifomart
lakini mm kadri ya uwezo wangu nilijitahidi kugungundua solution ya hii tecno m3 kwa 100%.
na leo nataka nianzie hapo baadaye nitaleta solution
za tecno
fake charging tecno h6 l5 l6 tecno c8 c5
harafu nitaleta solutiona ya mic ya tecno ya tecno t340 na tecno zote zina zinazotumia system ya chaji ya v3
na hizo solution huwezi kuzipata pale na zamani tulizoe solution kutoka india lakini hizo simu india hazipo kwahiyo waafrika tukomae.
Kazi nyingi sana mkuu. kwani ww ni fundi nataka nikusaidie hilo tatizo lako
Sent from my SM-G950F using Tapatalk
mwaka kazi sio nyingi ndo maana nakosa uzoefu...Toka umeanza una muda gani?
Sent from my SM-G950F using Tapatalk
uko wap?Samsung S5 imekufa display naiuza kama spare...
40kView attachment 991651View attachment 991652
Sent using Jamii Forums mobile app
Linavimba baada ya muda gani?Nina tecno CX shida yake ni kuvimba betri nimebadilisha Mara mbili tatizo lipo palepale msaada plz
Sent using Jamii Forums mobile app