Mafundi cherehani bora duniani

2k Genius

Member
Feb 27, 2011
88
9
FUNDI WA KWANZA;ninaweza kushona suti nzuri na ikamtosha nikimuona anapita kwa mbali...
FUNDI WA PILI;hiyo si kitu kwangu,mi naweza kushona suti bora kabisa nikimwona mtu anakatiza kwenye kona na nisimwone tena..
FUNDI WA TATU;nyie ndo mnajisifu kuwa ni mafundi!!!hamuwez kitu,kwan me naweza mshonea mtu suti bora hata kwa kuona tu kona aliyopitia bila kumuona yeye...
 
hawa ndio mafundi charahani wa kuitengeneza charahani pale inapoharibika. Nalog off
 
Back
Top Bottom