2k Genius
Member
- Feb 27, 2011
- 88
- 9
FUNDI WA KWANZA;ninaweza kushona suti nzuri na ikamtosha nikimuona anapita kwa mbali...
FUNDI WA PILI;hiyo si kitu kwangu,mi naweza kushona suti bora kabisa nikimwona mtu anakatiza kwenye kona na nisimwone tena..
FUNDI WA TATU;nyie ndo mnajisifu kuwa ni mafundi!!!hamuwez kitu,kwan me naweza mshonea mtu suti bora hata kwa kuona tu kona aliyopitia bila kumuona yeye...
FUNDI WA PILI;hiyo si kitu kwangu,mi naweza kushona suti bora kabisa nikimwona mtu anakatiza kwenye kona na nisimwone tena..
FUNDI WA TATU;nyie ndo mnajisifu kuwa ni mafundi!!!hamuwez kitu,kwan me naweza mshonea mtu suti bora hata kwa kuona tu kona aliyopitia bila kumuona yeye...