Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Mafisadi wazidi kumtishia JK baada ya kuonekana anataka kuwamaliza kwa kusimamia kufutwa kwa wagombea wa Vijana wa Bara na kuwapa wa Zenji nafasi .Kufuatia ujumbe uliotumwa kwa JK baada ya Kikao cha NEC wamesema kwamba wakao tayari kuja na Chama mbadala na kuachana na CCM kama JK atazidi kuwabana na hata kushindwa kumpata Katibu Mkuu wa Vijana .JK akiwa wazi kwamba anamtaka Kawawa achukue uongozi basi Mafisadi wamesema lazima kieleweke .
Wameamua sasa kumvaa possible mwenyekiti kati ya wale vijana 3 wa Zanzibar na jina tutaliweka hapa kwa uwazi muda si mrefu .Mafisadi wanasema watakula naye na lazima aelewe kwamba wao wako na wanataka kumtumia effectively akisha ukwaa ukubwa .Ngoma ni nzito na CCM si shwari .
Yangu macho sasa naangalia mwenendo mzima na saga hili huku kukiwa kumeitishwa kikao cha ghafla na tunatafuta yaliyomo .
More to come and stay tuned maana ufisadi sasa unaenda ikumba Zanzibar
Wameamua sasa kumvaa possible mwenyekiti kati ya wale vijana 3 wa Zanzibar na jina tutaliweka hapa kwa uwazi muda si mrefu .Mafisadi wanasema watakula naye na lazima aelewe kwamba wao wako na wanataka kumtumia effectively akisha ukwaa ukubwa .Ngoma ni nzito na CCM si shwari .
Yangu macho sasa naangalia mwenendo mzima na saga hili huku kukiwa kumeitishwa kikao cha ghafla na tunatafuta yaliyomo .
More to come and stay tuned maana ufisadi sasa unaenda ikumba Zanzibar