Mafisadi Wakamatwe!-wasiruhusiwe Kuligawa Taifa!

Mafisadi Wakamatwe!-wasiruhusiwe Kuligawa Taifa!

Nalipwaaaaaaaaa!!!

Naona zimepungua imebaki moja unajua naongelea nini.. au unataka kusema ulikuwa hujui kutumia huu mtandao then!!!
Wewe uliyokuwa nayo before siifahamu I don't have time. Hii uliifunguwa rasmi kumtetea Makonda humu
 
Wewe uliyokuwa nayo before siifahamu I don't have time. Hii uliifunguwa rasmi kumtetea Makonda humu

Ha ha haaaa
Ukweli umekuchomaaa si ungeziacha ulizojijibu bila kudelete.. eeeeh
Sasa unaonyesha hadi leo haujui kuchakachua ya humu kwenye forum.. eeeeeh eti nilijiunga lini ha ha ha haaaaa
 
Ha ha haaaa
Ukweli umekuchomaaa si ungeziacha ulizojijibu bila kudelete.. eeeeh
Sasa unaonyesha hadi leo haujui kuchakachua ya humu kwenye forum.. eeeeeh eti nilijiunga lini ha ha ha haaaaa
Mhn! Wewe kama siyo hawara wa Bashite...umebadili jina hata hivyo. Tuko wote humu kitambo, lakini haukuwemo kwa jina hilo.
 
Mhn! Wewe kama siyo hawara wa Bashite...umebadili jina hata hivyo. Tuko wote humu kitambo, lakini haukuwemo kwa jina hilo.

Uliyemtaja simfahamu..
Wewe nimekudukua kaa kimya.. unazidi kuonyesha nimekupataaaa.. yaaninhukutumia bichwa na hujui kulitumia

Umeninoti mwaka huu coz niliandika sana from less than 300 posts mwa huu to unavyoona now ngapi... eeeeh
Pumzika unazidi kujitia hasira.
 
Back
Top Bottom