MAFISADI wa PPRA hawa hapa

wimbi la mbele

JF-Expert Member
Jan 4, 2011
647
266
Naomba tujadili issue iliyokuwa raised. Hapa nilipo ninayo PPA lakini nadhani huko PPRA nako kumejaa ufisadi zaidi

Dowans ruling bares Dar


wabaya wenu ni hawa hapa nimeshindwa kupost picha zao:

PPRA::Board of Directors


so weird hawa walitakiwa wawe na meno ya kuuma PPA inapochezewa wao ahhh hawajali

watendaji ni hawa hapa:
Management


Jiulizeni, imewezekana vipi BRELA wampe mtu tenda ya SOFTWARE ya kuregister kampuni online na kufanya filing online ya milioni 800 BILA kutangaza TENDA?

Halafu jamaa anakuwambia eti it will take 3 days kuregister kampuni!!!!!!!!!!!!!!!!

as far as I know ni kuwa SOFTWARE kama iko up and running it should only take 1 hr to register a company

Of course PPRA na wenzao wanafanya semina tuu kila kukicha!!


Lakini naweza nikawapa 100 % kwa kuwa na the BEST WEBSITE out there...sidhani kamakuna idara yoyote serikalini ina website nzuri kama hii...including Mambo ya Nje
 
wale wale 2 na ukiritimba wao web nzuri ila hawajawa organized kivile.
 
So what is the issue here?? Sijakuelewa.

ppra(public procurement regulatory authority) ndo msimamizi wa mambo ya manunuzi ya umma so jamaa alikuwa anahoji kuhusu kutokusimamia hiyo tender ya mil 800
 
Hakuna fisadi anayemzidi Blandina Nyoni, ila kwa hili la madaktari ameingia choo cha kiume
 
[h=3]Dr Leonard M.G. Chamuriho[/h] Dr.Leonard M.G. Chamuriho is a member of the Board of Directors. He is a lecturer and Estate Manager, University of Dar es Salaam

eeeee kumbe nayo yumo huyo jamaa....Zamani alikuwa na kigari chake kama mkate alikinunua alipotoka kuchukua Phd. Loooool kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom