Tuanze na wale wa ESCROW, pia msimsahau Mkapa na wengine wote
Wale mafisadi wajiapnge mahakama ya mafisadi inakuja Lowasa na kundi lake wajipnge.
Na Richmond pia na mzee wa Kaya yupo pia raha sana
Wale mafisadi wajiapnge mahakama ya mafisadi inakuja Lowasa na kundi lake wajipnge.
Fisadi namba moja hapa tanzania ni Lowasa ajiandae lazima achezee kichapo mahakama itakuwa tayari mapema kabisa.
Wale mafisadi wajiapnge mahakama ya mafisadi inakuja Lowasa na kundi lake wajipnge.
Kwani mda wote walikua wansubiri nini?Wale mafisadi wajiapnge mahakama ya mafisadi inakuja Lowasa na kundi lake wajipnge.
Wale mafisadi wajiapnge mahakama ya mafisadi inakuja Lowasa na kundi lake wajipnge.
watanzania walipjitokeza hapo wanaimani sana na magifuli mafisadi ndiyo mwisho wao.
Mkuu ufisadi ndio uliomfanya mkapa aiweke heshima yake kando na kuanza kuporomosha matusi.unacheza na gerezani nni?Wale mafisadi wajiapnge mahakama ya mafisadi inakuja Lowasa na kundi lake wajipnge.