Jamani tusije tukanogewa kuongea lugha moja wooote humu ndani! nadhani mtoa hoja kasema pia bwana Mpendazoe anachafuliwa kuambiwa 'eti' anatengeneza makundi. Gazeti kama mtanzania ambalo mara nyingi limetumiwa na mmliki wake kuendeleza uma-kundi leo hii limekuwa linapinga tabia hii kirahisirahisi tu? Isije tukaingizwa kwenye mkumbo wa kuunga mkono mambo ambayo wengi wetu tumekuwa tukiyapinga kwa nguvuzetu zote! Hebu fikiri, kwa mfano ikawa ni kweli kuna njama hizo,..... sisi tutakuwa tumecheza mechi upande gani?
Jamani tusije tukanogewa kuongea lugha moja wooote humu ndani! nadhani mtoa hoja kasema pia bwana Mpendazoe anachafuliwa kuambiwa 'eti' anatengeneza makundi. Gazeti kama mtanzania ambalo mara nyingi limetumiwa na mmliki wake kuendeleza uma-kundi leo hii limekuwa linapinga tabia hii kirahisirahisi tu? Isije tukaingizwa kwenye mkumbo wa kuunga mkono mambo ambayo wengi wetu tumekuwa tukiyapinga kwa nguvuzetu zote! Hebu fikiri, kwa mfano ikawa ni kweli kuna njama hizo,..... sisi tutakuwa tumecheza mechi upande gani?
vyovyote vile....tusiwadharau wananchi.....tuwaache ndio wawe waamuzi wa mwisho....ideally wananchi watamu-evaluate Mbunge wao kutokana na aliyo ahidi na anayotakiwa kutekeleza akiwa kama mwakilishi wao bungeni + jimboni.....kama wanajimbo ni Kabuntas na wakamchagua tena kabuntas......still the ball uko uwanjani kwao kuamua.......
Jamani mbona mnamshambulia Mhe. Mpendazoe wakati si yeye alielalamika? Mada hii imeanza kwa Bill kutoa maoni yake kutokana na mtiririko wa nakala za magazeti kuhusiana na mkakati alioona yeye wa kumng'oa Mbunge huyo. Siasa inahitaji subira. Mpeni nafasi na Mpendazoe kutetea kiti chake. Hajalalamika wakuu.
Mzee wa sauti ZA umeme heshima mkuu.
Mimi nadhani kuna haja ya kubehua mfumo mbovu uliopo na kuleta mfumo workable.
Kwanza mawaziri wasiwe wabunge, pili katiba itamke majina ya wizara ili kuondoa kadhia ya uundwaji holela wa wizara. tatu waziri mkuu awe mtendaji na nafasi ya raisi iwe ni mpepeaji i mean ceremonial, nne posho za wabunge zipunguzwe kulinganisha mfumo wa mishahara ya serikali na walipe kodi kwa kila senti ya posho inayowadondokea. tano ukabila na udini viwekewe penal code zake. sita sheria ya usajili wa vyama iweke ukomo wa wagombea uraisi walioshindwa kupata popular vote ili kutoa nafasi kwa wengine kuingia ktk soko la kura. saba gavana wa benki kuu na wakurugenzi wa idara nyeti za serikali wapitishwe kwa kura bungeni ktk kuunga au kukataliwa uteuzi wao. nane Mahakama isiwe idara ktk wizara ya sheria na katiba, ipewe nafasi yake sawa ya mhimili wa dola pia utafutwe utaratibu muafaka wa kumpata na kumwapisha jaji mkuu. tisa sheria ya maadili ya viongozi wa umma irekebishwe ili kuchechemiza uwajibikaji zaidi. kumi kiongozi yeyote wa serikali ajivue au avuliwe madaraka yake YOTE ktk chama alichotoka ili awajibike na kutoa nguvu ya accountability....
Nina mengi kichwani ila nimeyawekea hakimiliki ili wasije wakaiga na kudandia hoja kwa nchani.
IGP takes over police probe over State House 'forgery'
Thisday, Friday, August 11 2006
THE Inspector General of Police, Mr Saidi Mwema, is now personally supervising investigations into a scam involving forgery of State House documents, police sources said yesterday.
''In July, following complaints from a number of parties, the investigation has been reassigned to officers who are now reporting directly to the Inspector General of Police,'' a police source said.
The forgery of State House documents was first published by THISDAY and its sister KULIKONI newspaper in April, this year, but there has been concerns on progress in the investigation of the case.
The conmen had forged official Ikulu documents and Coat of Arms purportedly from the President's Office in an attempt to prevent a British business investor, Mr Mark Foley, from entering Tanzania. The case was originally being investigated by the office of the Director of Criminal Investigation (DCI).
However, sources say the investigations are now being led by a police inspector who is acting on instructions received directly from the IGP with the State House closely monitoring the probe.
''The detective handling the case now is a qualified accountant and has been assigned to this case in order to investigate allegations of serious fraud,'' the source said.
Allegations of fraud were linked to changes in management and ownership of a local company known as Construction Equipment Africa Limited in September 2004.
Mr Foley was the original investor of Construction Equipment Africa Limited, which he claims was later taken away from him through fraudulent means.
The company provides generators and support services to cellphone service providers in Tanzania, including Vodacom, Celtel and Mobitel. It was originally incorporated in Tanzania in April 2001.
Police have since called Mr. Raymond Orr, the firm's Finance Director, for questioning in connection with the issuance of a share certificate that was signed by Mr. Orr and granted the Company's Managing Director, Robert Thomson, 50 per cent ownership of Construction Equipment Africa.
Mr. Orr is also being questioned on the opening of a bank account at Standard Chartered Bank in June 2004.
Police have also questioned officials from State House and journalists familiar with the matter.
Investigators are questioning witnesses about representations made by various parties to Immigration authorities in April 2005 that led to Mr Foley being apprehended by immigration officers and wrongfully accused of being an illegal immigrant.
Mishahara na posho yao vipunguzwe tu na kuwekwa kima cha chini kabisa tuone kama watakimbilia ,maana kila mtu itambidi athamini kile alichokisomea ,utamkuta mtu serikali imetoa gharama za kumfundisha uinjinia na udakitari na elimu zingine za ufundi akirudi anaenda kutafuta mambo ya siasa na kujiunga huko na ile hela yote aliyofundishiwa inakuwa imepotea bila kuonekana matunda yake ,ni wizi tu.
hamna kuwindwaa yeyote atakayedondoka ni uwezo mdogo tuuu wa kuwahudumia watu wakeee...na wabunge wengi ccm waliingia kifisadi (wizai wa kura na rushwaaa kubwaaa)..- Wakipata ubunge tu wanayakimbia majimbo yao, halafu wanataka kusingizia mafisadi wanatayarisha mtu, nonesense!
- Ni majimbo mawili tu ambayo ninajua for a fact kwamba mafisadi wanayawinda nayo ni ya Sitta na Mama Makinda, kwa sababu hawa ndio kikwazo chao bungeni, kama unaelewa vizuri siasa za bongo then uanjau wkamba tatizo la mafisadi sio media wala wananchi, ila wanaumizwa bungeni na hawa viongozi wawili tu, na ndio wamewakamia sana, lakini wengine waache magirini hawana record tu sasa wasidanganye umma!
FMES
Sawa mkuu, ni busara zaidi ugombee kupitia upinzani.Kung'ang'ania kugombea kupitia CCM hilo bundi la ufisadi litakuandama.Nasema hivyo kwa sababu CCM tayari wana makundi matatu,yaani CCM Asili(Nyerereists),Mtandao Masilahi(Mafisadi) na Mtandao Matumaini(Anti-mafisadi).Yapimeni makundi hayo ili ujitambulishe uko kundi gani.Na mimi najiandaa kumng'oa Yono Kevela kuleeeeeee Njombe sijui mtasema ufisadi....na kuna jamaa angu nae anamdondosha mtu mzima Jackson Makwete hawa wabunge wamekuwa mzigo kwa sisi wananchi hawana chao 2010...
Msije mkasema nimetumwa na mafisadi kama hawa mmewahi waskia wanapigana vita ya ufisadi basi nitakuwa nimetumwa lakini kama hamjawahi sikia basi ndo hivyo hawa bungeni hawarudi 2010.
Kwani nani alimuambia huyo Mpendazoe kuwa hilo jimbo ni mali yake? Yaani yeye akwia Mbunge watu wengine hawaruhusiwi kuja kugombea unapofika wakati wa uchaguzi!
IPPMEDIA.Angalieni sana huyo Mwakyembe wetu. Usanii mtupu.Tsh 76m zetu tulizomchangia pale ubungo TBS amejengea ghorofa yake kule kunduchi.Sasa huo ni uzalendo? Reply With Quote
76m hazijengi ghorofa wewe ni nyumba ya kawaida kabisa....ebooo....ubungo TBS ndo nini bureau of standards?
.Upeo wako mdogo kuelewa
Hapo unataka maana ya neno TBS
.kujua ufisadi wa huyo kaka yako msema ovyo?
76M alitumbukiza kwenye ujenzi wa Nyumba yake ambayo ni Ghorofa.