mashadoplantan
Member
- Apr 28, 2011
- 41
- 19
Omari Kimbau alispend close to 300 million kutaka kuchukua kisiwa cha mafia lakini mwishowe hata baba yake alishindwa kumsaidia
hapo nazungumzia baba yake wa kuunganisha...yaani YUSUPH MAKAMBA ambaye dada yake aliolewa na dedi yake KIMBAU
wana Mafia waliuliza kama Makamba aliweza kumtafutia JIMBO mwanae January iweje leo ashindwe kumtafutia mwanae mwingine huyu Omari jimbo huko kwa wasambaa wenzie?
Omari alitembeza hongo mpaka kwa CCM Mkoa lakini mwishowe Mbunge wetu aliye na elimu ya darasa la 7 alishinda hands down lakini ukweli usiopingika kuwa the REAL mbunge wa Mafia anajulikana japo watu wa kisiwa cha Mafia hawalijui hilo lakini aliyeanzisha thread nadhani naye anajua ni nani hasa mbunge wa Mafia
CUF wako strong sana na hapo ndio mtajua kuwa machinery ya CCM Pwani ilipiga akili na kuondoa upuuzi aliokuwa anuleta yule Msambaa kutakakuwachagulia mbunge kwani wananchi walishaapa kuwa OMARI KIBAU akipitishwa then NGANGARI haoooo wanalichukua jimbo!
By the way kuna taarika kuwa tangu Mungu auombe dunia Mafia haina ma university graduates wasiozidi 15 na kati ya hao mmoja alitaka kugombea ubunge toka ulaya lakini akachanganyikiwa akili waliobaki ndio huyo wa sasa .
Kuhusu maendeleo sioni kipya Mafia kwanza wametengwa ki jiografia na maana bora wangekuwa part of znz wangepelekewa mawili matatu...lakini ukeli ni kuwa gato jipya linajengwa pale Kilindoni na uwanja wa ndege uko kwenye mchakato wa millenium challenge account na bila kusahau asasi mbali mbali za maendeleo zinajitahidi lakini mie naona asasi inayofanya la maana kisiwani ni hao waliojenga shule ya sekondari ya Bweni
otherwise bara bara mbovu, umeme ni wa jenereta, in short hakuna kinachoendelea kule kisiwani na wenye kuendeleza Mafia ndio hao wameenda kufungua bar kama akina Omari kimbao na hiyo baar yake ya MAFIAN...na ushahidi wa kuuza pobe huu hapa:
[/IMG]
Halafu mnashangaaa iweje Omari na Kinje hawazungumzi?
Ukweli ni kuwa hata huyo Bwana Mkubwa aliyekuwa ana mbankroll Omari Kimbau naye alishamchoka baada kuona maneno mengi na hakuna linalofanyika na mwishowe Omari aliamua kuridi where he is more comfortable badala ya kuendelea kusaidia maendeleo kisiwani pale
Nadhani tutamwona tena uchaguzi ukikaribia
hapo nazungumzia baba yake wa kuunganisha...yaani YUSUPH MAKAMBA ambaye dada yake aliolewa na dedi yake KIMBAU
wana Mafia waliuliza kama Makamba aliweza kumtafutia JIMBO mwanae January iweje leo ashindwe kumtafutia mwanae mwingine huyu Omari jimbo huko kwa wasambaa wenzie?
Omari alitembeza hongo mpaka kwa CCM Mkoa lakini mwishowe Mbunge wetu aliye na elimu ya darasa la 7 alishinda hands down lakini ukweli usiopingika kuwa the REAL mbunge wa Mafia anajulikana japo watu wa kisiwa cha Mafia hawalijui hilo lakini aliyeanzisha thread nadhani naye anajua ni nani hasa mbunge wa Mafia
CUF wako strong sana na hapo ndio mtajua kuwa machinery ya CCM Pwani ilipiga akili na kuondoa upuuzi aliokuwa anuleta yule Msambaa kutakakuwachagulia mbunge kwani wananchi walishaapa kuwa OMARI KIBAU akipitishwa then NGANGARI haoooo wanalichukua jimbo!
By the way kuna taarika kuwa tangu Mungu auombe dunia Mafia haina ma university graduates wasiozidi 15 na kati ya hao mmoja alitaka kugombea ubunge toka ulaya lakini akachanganyikiwa akili waliobaki ndio huyo wa sasa .
Kuhusu maendeleo sioni kipya Mafia kwanza wametengwa ki jiografia na maana bora wangekuwa part of znz wangepelekewa mawili matatu...lakini ukeli ni kuwa gato jipya linajengwa pale Kilindoni na uwanja wa ndege uko kwenye mchakato wa millenium challenge account na bila kusahau asasi mbali mbali za maendeleo zinajitahidi lakini mie naona asasi inayofanya la maana kisiwani ni hao waliojenga shule ya sekondari ya Bweni
otherwise bara bara mbovu, umeme ni wa jenereta, in short hakuna kinachoendelea kule kisiwani na wenye kuendeleza Mafia ndio hao wameenda kufungua bar kama akina Omari kimbao na hiyo baar yake ya MAFIAN...na ushahidi wa kuuza pobe huu hapa:
Halafu mnashangaaa iweje Omari na Kinje hawazungumzi?
Ukweli ni kuwa hata huyo Bwana Mkubwa aliyekuwa ana mbankroll Omari Kimbau naye alishamchoka baada kuona maneno mengi na hakuna linalofanyika na mwishowe Omari aliamua kuridi where he is more comfortable badala ya kuendelea kusaidia maendeleo kisiwani pale
Nadhani tutamwona tena uchaguzi ukikaribia