Mafia boxing mipambano yenu ya ovyo

Mafia boxing mipambano yenu ya ovyo

Watu wakiuana ni sawa?
Wapo kazini.
Nambie kuanzia umeanza kufuatilia ngumi wamekufa wangapi?

Wangapi wamekufa makazini mwao kutokana na risk ya kazi husika na hujaja kulalamika hapa
 
Nafika nyumbani nakuta pambano la mwisho la yule mbongo na jamaa wa ghana. Wakati anatangazwa mshindi nilivyomwona tu mwana fa ulingoni nikajua kinachofuata hapa ni michezo ile ile tu ya ccm na nec
 
Huu mchezo wa boxing binafsi huwa sielewi . Yaani wafurahia kuona mtu akipigwa??!!,
Unalipa pesa kabisa kuangalia mtu atakavyoumizwa au hata kuuliwa kabisa!.
Binadamu tuna akili za ajabu kwakweli.

Yaani mtu anaendesha maisha kwa kupiga wengine na kupigwa na wengine!!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom