Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
Tatizo CHEUSI unabana mnooo ndo maana jamaa ameamua kukimbilia denti.
tabia mbaya sana kuparamia vitoto vya shule. havina ladha kwanza
Msanii ulijuaje havina ladha?
Tatizo CHEUSI unabana mnooo ndo maana jamaa ameamua kukimbilia denti.
tabia mbaya sana kuparamia vitoto vya shule. havina ladha kwanza
Mie sioni haja ya kumlaumu FATAKI hapa. siamini kuwa huyo mzee anaweza akawa ametoka huko atokako akute tu mtoto barabarani amchukue hapa kuna walakini aisee naona walikuwa wamekubaliana kabisa haiwezekani kwani tangu atoke huko hakuona visichana vingine eeehhh??? Walikuwa na appointment hawa wasitufanye sisi wajinga. Hapa swala naloliona mimi ni Mama sema na mwanao mapemaaaaaaaa msianze kulaumu wababa wa watu ukiacha kumfundisha mwanao watamfataki kweli hawana mchezo, sasa wazazi ongeeni na watoto wenu msione haya jamani ndo mnawasaidia.
Msanii ulijuaje havina ladha?
JK anasema ni vihelehele vyao hao watoto, wazazi wapeni watoto wenu vitu wanavyo taka sio pilau wanakula X.mass basi
Ah mi bado bana nalia na mafataki....sijakataa kuwelimisha watoto lakini kama mtu mzima tu anasomeshwa na kukubali kuvua gagulo itakua mtoto.....Asee mi nikikamata fataki inanyemelea mtoto wangu napiga risasi asee sina mchezo kabsaa...Kimey taratibu kuna watoto bongo siku hizi??? Wanajua mambo makubwa hata wewe mtu mzima huyajui acha kabisa naendelea kumlaumu mama haongei na mwanae kwanini?? Mie nakupa mfano binti yangu wa mwisho yuko std nikaanza kuzungumza nae alipovuka kuwa mkubwa natumai umenielewa mama yangu mzazi nilitaka kuzimia anajua mambo makubwa hadi ti** anajua hadi UKIMWI na mambo ya ajabu mie hata sijawahi kuyafanya nikamuonya na tukaelewana tusidanganyane bwana
Ah mi bado bana nalia na mafataki....sijakataa kuwelimisha watoto lakini kama mtu mzima tu anasomeshwa na kukubali kuvua gagulo itakua mtoto.....Asee mi nikikamata fataki inanyemelea mtoto wangu napiga risasi asee sina mchezo kabsaa...
JK anasema ni vihelehele vyao hao watoto, wazazi wapeni watoto wenu vitu wanavyo taka sio pilau wanakula X.mass basi
Ah mi bado bana nalia na mafataki....sijakataa kuwelimisha watoto lakini kama mtu mzima tu anasomeshwa na kukubali kuvua gagulo itakua mtoto.....Asee mi nikikamata fataki inanyemelea mtoto wangu napiga risasi asee sina mchezo kabsaa...
tujifunze namna ya kuongea na watoto zetu cheusi,sio kufanya kazi tuu na kupoteza muda kwenye mambo yasio ya lazima tukasahau majukumu yetu mwisho wa siku tunaanza kulaumu mafatakini kweli lkn bado mtoto ni mtoto na huyo fataki ndiye mwenye makosa na laana.
tujifunze namna ya kuongea na watoto zetu cheusi,sio kufanya kazi tuu na kupoteza muda kwenye mambo yasio ya lazima tukasahau majukumu yetu mwisho wa siku tunaanza kulaumu mafataki
Dada Cheusi naomba nitofautiane na wewe Kidogo, Kwa jinsi nilivyosoma hapo juu, hako katoto wala hakakuwa na wasiwasi na kile kilichokuwa kinaenda kutokea, mimi siamini kuwa huyo mtoto alikuwa hajui kuwa wanaenda Guest kufanya nini? Sawa tumlaumu huyo fataki laikini na hako katoto kanahitaji lawama pia nadahni hata kakichekiwa katakutwa na shimo la kikubwa
tujifunze namna ya kuongea na watoto zetu cheusi,sio kufanya kazi tuu na kupoteza muda kwenye mambo yasio ya lazima tukasahau majukumu yetu mwisho wa siku tunaanza kulaumu mafataki
Nakuunga mkono kabisa Musinga tuseme nao
mtoto wa miaka 10,hata akiambiwa anaenda guest...hawezi jua huko guest watu huwa wanafanya nini jamanii...
mnahalalisha ubaradhuli wa huyo fataki kwa kumlaumu mtoto...:redfaces:
Ah mi bado bana nalia na mafataki....sijakataa kuwelimisha watoto lakini kama mtu mzima tu anasomeshwa na kukubali kuvua gagulo itakua mtoto.....Asee mi nikikamata fataki inanyemelea mtoto wangu napiga risasi asee sina mchezo kabsaa...
Nakuunga mkono kabisa Musinga tuseme nao