tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,405
Habari
Naomba kuuliza..hivi mafao ya LAPF yanatolewa kwa waliokua wanachama wake baada ya kuacha kazi...kuna dogo langu limefanya kazi kwa mkataba wa miaka 2 na mradi fulani...sasa michango ilikua inapelekwa LAPF..swali ni je atapewa mafao yake baada ya kumaliza mkataba...au ndo mpake azeeke na kufika umri wa kustaafu
Naomba kuuliza..hivi mafao ya LAPF yanatolewa kwa waliokua wanachama wake baada ya kuacha kazi...kuna dogo langu limefanya kazi kwa mkataba wa miaka 2 na mradi fulani...sasa michango ilikua inapelekwa LAPF..swali ni je atapewa mafao yake baada ya kumaliza mkataba...au ndo mpake azeeke na kufika umri wa kustaafu