We mganga wa humu nataka unifanyie ramli unieleze juu ya maisha yangu..!Utapigwa..majini hayapangiwi na binadamu...asilimia 95 ni utapeli
Hata kama naweza sitakiWe mganga wa humu nataka unifanyie ramli unieleze juu ya maisha yangu..!
Unaweza..?



Naona ushaanza kutoboabasi humu utapigwa mahubiri na wachungaji feki hadi ushangae
anyway kwa swali lako. jibu ni ndiyo. ila kama unauliza kwa kutega au una beep response hutofanikiwa kwa lolote.
wachungaji, manabii, ma padre wote wanatumia mambo yao ya SIRI.
wewe hujiulizi the so called watu wa mungu wana nunua majumba huko beveryl hills marekani ya madola ya bilioni wanatembelea private jets ila angalia wafuasi wamekondeana kama njiti ya kiberiti
Unataka utajiri nenda pia kwa TB Joshua upo lkn ujiandaye kwa mauza uzaNasikisia sana hizi habari fulani kawapata utajiri sababu ya majini n.k. Je, ni kweli hizi mambo zipo na kama zipo unazipataje?
Aseee mimi nikipata hivi tu basi, haya mambo ya magorofa, mandege mameli hapana kwa kweli, Mungu anijaalie vichache basiHakuna pesa ya halali
Ukiitaka hiyo utaishia kununua ist au rav 4
Kujenga nyumba yenye choo cha ndani,kuizungushia ukuta.
Watoto wako kusoma medium,kuoa kusifia wanaume wenzio na kuikosoa serikali
Ila kama unataka kutanua,kufahamika,kula bata mpaka kuku waone wivu
Huwezi kuipata kiuhalali
Either utoe kafara au ukubali kuwa pirate
Sidhani kama kuna la ziada
Wivu tu..😜😂😅No y no w..sitaki
Jr![]()
Mfanyie bhana we ni mganga bhanaHata kama naweza sitaki
Jr![]()
Ukijifanya mwema Sana, mafanikio yako utalipwa uko mbinguniUjue maisha ni mchezo, wewe endelea kufumba macho usali kama wamisionari walivyofundisha. Utaendelea kuabaki na Biblia mkononi ukisubiri ufalme wa juu .

Kama na wewe umepinga kweli wanaoendaga kwa waganga kazi wanayoUtapigwa..majini hayapangiwi na binadamu...asilimia 95 ni utapeli
Nenda ngende wewe acha ulofa. Utahangaika na maisha mpaka lini? Unasoma kwa shida, mshahara unaupata kwa shiida, na kujenga unajenga kwa shiida. Ngende utajiri ni 200%, no kumwaga damu, ni masharti tu uyazingatie
Lilombe kwa mzee mbumulileWewe nenda Sudan Temeke karibu na madadapoa, panda gari za Liwale, ukifika Liwale panda daladala za Mpigamiti au Lilombe huko ukifika waambie nataka mganga wa ngende . au Nenda kijiji cha Ndapata huko utajionea maajabu Simba anapiga story na mganga