prospilla
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 1,150
- 1,716
Hii sio sababu mkuu.Mbona watu walio karibu na hapo Ni masikini wa kutupwa?? Akili ya kuambiwa changanya na umbea
Sent from my SM-A5100 using JamiiForums mobile app
Hii sio sababu mkuu.Mbona watu walio karibu na hapo Ni masikini wa kutupwa?? Akili ya kuambiwa changanya na umbea
Wewe nenda Sudan Temeke karibu na madadapoa, panda gari za Liwale, ukifika Liwale panda daladala za Mpigamiti au Lilombe huko ukifika waambie nataka mganga wa ngende . au Nenda kijiji cha Ndapata huko utajionea maajabu Simba anapiga story na mganga
😂😂Yaap. Halafu ajabu ni kwamba wenyeji wa Liwale wakienda hawahitaji utajiri wanakwenda kuchukua dawa ya mademu tu
Mwishowe lazima umwage damu. Mifano ipo kibao.Nenda ngende wewe acha ulofa. Utahangaika na maisha mpaka lini?
Unasoma kwa shida, mshahara unaupata kwa shiida, na kujenga unajenga kwa shiida.
Ngende utajiri ni 200%, no kumwaga damu, ni masharti tu uyazingatie
Mara nyingi ukikaa na mganga kwa muda mrefu basi unamzoea unakuwa humuamini tena na unaona hawez fanya chochote juu yako bt wale wa mbali wakija wanaamin na wanatoboaMbona watu walio karibu na hapo Ni masikini wa kutupwa?? Akili ya kuambiwa changanya na umbea
Masharti yote ya waganga Ni ya kudhalilishana tu.Mwishowe lazima umwage damu. Mifano ipo kibao.
Masharti ya ajabu ajabu - hakuna kunywa pombe/mademu nje ya mkeo wewe na ndugu zako wa damu. Ukimpa hela ndugu yako akafanya ni sawa na wewe umefanya. Kuna kulala sakafuni kwenye mkeka sehemu ambayo haina tiles wala floor ya cedment - mkeka uguse udongo. Ukimaliza shughuli na mkeo lazima ulale chini.
Lakini wewe si tajiri.Wewe nenda Sudan Temeke karibu na madadapoa, panda gari za Liwale, ukifika Liwale panda daladala za Mpigamiti au Lilombe huko ukifika waambie nataka mganga wa ngende . au Nenda kijiji cha Ndapata huko utajionea maajabu Simba anapiga story na mganga
kulala chini na vtu vingine unapata kula kuvaa, watoto kusoma vizuri ni boraMwishowe lazima umwage damu. Mifano ipo kibao.
Masharti ya ajabu ajabu - hakuna kunywa pombe/mademu nje ya mkeo wewe na ndugu zako wa damu. Ukimpa hela ndugu yako akafanya ni sawa na wewe umefanya. Kuna kulala sakafuni kwenye mkeka sehemu ambayo haina tiles wala floor ya cedment - mkeka uguse udongo. Ukimaliza shughuli na mkeo lazima ulale chini.
Uzi upi huo Chiefhivi mkuu umeuona huu uzi wangu kweli, kama umeuona njoo inbox. asante.
Gharama ana chaji baada ya wewe kufanikiwa au kablaNenda ngende wewe acha ulofa. Utahangaika na maisha mpaka lini?
Unasoma kwa shida, mshahara unaupata kwa shiida, na kujenga unajenga kwa shiida.
Ngende utajiri ni 200%, no kumwaga damu, ni masharti tu uyazingatie
Yaap. Halafu ajabu ni kwamba wenyeji wa Liwale wakienda hawahitaji utajiri wanakwenda kuchukua dawa ya mademu tu
Sawa kabisa ila kabla hujaenda kujiingiza kwenye matatizo chunguza kwanza wenyeji wako. Wao wako vipi? Hawauhitaji huo utajiri? Kwa nini wengi hutafuta za kuwapiga miti wanawake tu na sio za kupata mali?? Wajua kuwa liwale sasa kwatoka madini? Mbona wa huko hawayatafuti? Ukiisha kuyajibu hayo yote, basi ingia kwa huyo mganga akugangue. Mtaji wa masikini ni nguvu zake sio ugangaWewe nenda Sudan Temeke karibu na madadapoa, panda gari za Liwale, ukifika Liwale panda daladala za Mpigamiti au Lilombe huko ukifika waambie nataka mganga wa ngende . au Nenda kijiji cha Ndapata huko utajionea maajabu Simba anapiga story na mganga
Ila wewe tajiri mtarajiwa una hasira sana.nani kakudanganya paka wewe ...nipo kamili gado endelea kusubiri na kunifuatilia mbuzi mee wewe.
You are a genius of our time. Yaani nadhani weye ndo wa kwanza kwenye ukoo wako/kabila lako/mkoa na taifa kwa jumla. Ndo weye tu umejua namna pekee ya kuupata utajiri ni kwenda kwa mganga. Pole sana ila mtaji wa kuuondoa huop umasikini ni nguvu zako. Nenda kachape kazi ndo kuna mafanikiooo.niseme huyajui maisha, sio matatizo bali ni neema kubwa , hao wenyeji kila mtu ana chaguzi zake maishani, mwingine kakubali kufa maskini, mwingine kakubali kutembea na wanawake tu hadi mwisho wa uhai, mwingine kaamua kua mlokole, mwingine kaamua kua malaya, kua shoga, wengine akina sisi tumeamua kuufuta umasikini na kuutafuta utajiri kwa njia zozote
Mbona waganga wote wameanguka kura za maoni? Kuna yule mzee wa moshi na majini wa tangaNasikisia sana hizi habari fulani kawapata utajiri sababu ya majini n.k. Je, ni kweli hizi mambo zipo na kama zipo unazipataje?
Broo we ni kama hebu tukutane Pm hawa watu kama hawataki pesa si wake kimya tuniseme huyajui maisha, sio matatizo bali ni neema kubwa , hao wenyeji kila mtu ana chaguzi zake maishani, mwingine kakubali kufa maskini, mwingine kakubali kutembea na wanawake tu hadi mwisho wa uhai, mwingine kaamua kua mlokole, mwingine kaamua kua malaya, kua shoga, wengine akina sisi tumeamua kuufuta umasikini na kuutafuta utajiri kwa njia zozote