Maendeleo: Ndege za ATCL mbioni kuanza kutua Chato

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,678
218,188
NDEGE ZA ATCL KUANZA KUTUA CHATO Mamlaka  ya Anga Tanzania (TCAA)  na Shirika la ( 545 X 640 ).jpg

Hii ndio taarifa mpya kwa sasa kuhusiana na ruti mpya ya ndege za ATCL, kwamba baada ya ukaguzi wa Uwanja huo na kuonekana uko sawa ndege hizo zitaanza kupeleka abiria na kuwachukua kutokea Chato.

Hayo yamebainishwa na ofisa wa shirika hilo Mh Kavishe.
 
Kwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara.

Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
 
Hiyo safari imeanzishwa kisiasa, nina hakika itakufa muda mfupi baada ya jamaa kutoka madarakani, na hayo yote ni katika zile mbwembwe za siku hizi za kumsifia mfalme, ila watamsifia huku wanakunja uso kwa maumivu ya hasara watakayopata.
 
ATCL ni shirika linalojiendesha kisiasa kuliko kibiashara, Napata ukakasi sana kuamini kama kweli shirika hili lina business plan, au kama lina sustainable plan,

Hivi mkuu wa shirika hili alipatikanaje, Vetting ilifanyika, Vigezo vipi vilitumika?? Je board ya wakurugenzi ilipatikanaje??? Je malengo ya kulifufua shirika hili yalikuwa ni yapi??? je yalikuwa ni kurahisisha ufisadi au yalikuwa ni nini hasa.

Kama malengo yalikuwa kufanya bishashara kwa nini shirika hili lilihamishiwa vote ambayo haikaguliwi na ''CAG" Lengo lilikuwa kuficha nini hasa? Kwa sasa tuishie hapo, Baada ya serikali ya awamu ya Tano kuondoka madarakani huenda yaliyojificha yatafichuliwa.
 
View attachment 1646383

Hii ndio taarifa mpya kwa sasa kuhusiana na ruti mpya ya ndege za ATCL , kwamba baada ya ukaguzi wa Uwanja huo na kuonekana uko sawa ndege hizo zitaanza kupeleka abiria na kuwachukua kutokea Chato .

Hayo yamebainishwa na ofisia wa shirika hilo Mh Kavishe
Hii ni habari njema sana, route ikianza, abiria watapatikana, kitu muhimu ni kuutangaza utalii wa Chato. I was very right being optimistic kuhusu ujenzi wa uwanja huu.


P
 
Hiyo safari imeanzishwa kisiasa, nina hakika itakufa muda mfupi baada ya jamaa kutoka madarakani, na hayo yote ni katika zile mbwembwe za siku hizi za kumsifia mfalme, ila watamsifia huku wanakunja uso kwa maumivu ya hasara watakayopata.
Lengo la kuanza kwa hiyo route ni kumjibu bwana yule aliyeenda Belgium kuwa ule uwanja umejengwa pale kwa sababu za kibiashara zaidi na sio kwa matumizi binafsi ya namba moja
 
Kwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara. Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
Hahaahahhaahhaahaahhahaaaa jinai haiyozi nn?
 
Back
Top Bottom