JPM Ukikaa Ukamsikiliza kwa Umakini Utang'amua Mambo Mengi Juu Yake.
1) Uwezo Wa Kuzungumza Lugha ya Kiswahili na Kiingereza kwa ufasaha ni Mdogo.
2)Kwa KuPangilia hoja kwa unyoofu na kujenga hoja,Uwezo Wake ni Mdogo.
3) Baada ya Sentensi Nne/tano zinazofuata zinapinga za awali Kwa Mantiki.
4)Huwa anamwangika tu na kufanya Mitindo huru isiyo na Mashiko.