share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,062
- 10,457
Dhana hii ya "Maendeleo hayana chama" inatumika vibaya na mgombea wa urais kutipitia CCM. Hebu washauri wake wawe wanamuambia Kama mwenyewe hajielewi. Katika kikao hichohicho anawalazimisha wananchi wasiwachague wagombea wa upinzani kwani hatafanyakazi nao, lakini anamalizia kwa kusema maendeleo hayana chama! Inakera sana!