MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 20,114
- 35,495
Ndio alisema kabla 2015 kiwanda kitakuwa tayari!!! Kipo???Huu utetezi ni wa kitambo!
Ndio alisema kabla 2015 kiwanda kitakuwa tayari!!! Kipo???Huu utetezi ni wa kitambo!
Kafukue uzi wake tuje tuujadili lakini hapa mjadala unahusu kitu kingine, hiyo double standard unayohisi hata wewe unaifanya kwa kila mjadala wa ufisadi kuibuka na hoja hii na kuacha hoja iliyo mbele. Kila mjadala ujitegemee, changia mada iliyo mezani ...Unajua kuwa nyumba za serikali sharti lake lilikuwa ni kuwauzia watendaji wa serikali lakini watu wa kawaida walipewa nyumba zile?yani hadi michepuko!!!kwanini fisadi kama huyu asichomwe moto kama vibaka wengine?
Anategewa kila aina ya mtego!Membe anatafutwa
Kipo matumboni mwa watuTumeelezwa kuwa ujenzi wa kiwanda ulifikia asilimia 45 na kingeanza kazi mwaka 2015. Ninajiuliza je hivi sasa kuna kiwanda cha saruji Mkoa wa Lindi kinachofanya kazi?.
Naona maelezo kwamba kiwanda cha saruji ifikapo Dec 2015 kitakuwa tayari. Sasa swali langu ni kwamba kama pesa walipata toka wakati huo na mwaka huu ni 2019, Je kiwanda kipo au hakipo maana sijaona Cement hiyo sokoni.lukaminde
Uongo mtupu! Kama kulikuwa na huo unaodai mkataba hebu uweke hapa jamvini. Kiitwacho mkataba na Bw Membe ni kama draft ambayo serikali ya Libya ilikuwa haijasaini, ni suala lilikuwa bado linajadiliwa. Hapakuwa na mkataba hata siku moja. Hii ilikuwa daylight robbery. Ni aibu kwa mtafuta Urais wa nchi. Usafi wako upo wapi hapa?
Mku hii ni sooooo. Kama kiwanda kipo hapo sawa.Membe ananuka rushwa,mwaka jana alisema pesa zimehifadhiwa TIB hazijatumika,leo anasema ujenzi upo na utakamilika 2015.Aweke hata picha za ujenzi huo
Nadhani shida sio mkataba shida ni kwamba kiwanda kipo au hakipo?Ni majibu mujarabu ya upande mmoja. Sasa tunasubiri ya upande wa pili?
Hata hivyo mkataba ni makubaliano ya hiari yanayosimamiwa kisheria baina ya pande mbili. Makubaliano yanakuwa halali na enforceable baada tu ya kutiwa saini na hizo pande mbili husika. Sasa hili la kusainiwa upande mmoja linahalalishaje mkataba? Au ni aina mpya ya mikataba?????
Halafu?Aje na kivuko cha bn8
Kiwanda nadhani kipo, labda issue ni kua kinafanya kazi ama lahNdio alisema kabla 2015 kiwanda kitakuwa tayari!!! Kipo???
Kingekuwapo huu mjadala ungeisha na mhusika angeonyesha mapicha kibao?Naona maelezo kwamba kiwanda cha saruji ifikapo Dec 2015 kitakuwa tayari. Sasa swali langu ni kwamba kama pesa walipata toka wakati huo na mwaka huu ni 2019, Je kiwanda kipo au hakipo maana sijaona Cement hiyo sokoni.
Haijalishi kama Libya wali sign au hawaku sign mkataba lakini je kiwanda kipo?
Uchaguzi wa 2020 ulikuwa haujakaribia,Siku Zote Alikuwa Wapi????
Kazi ipo.Ama kiwanda, ama fedha.
Tuweke siasa pembeni: Membe alijihusishaje na kudai pesa hizo kama hakuwa na maslahi. Hakumbuki UN ilitoa katazo dunia nzima fedha/mali za Libya zisichukuliwe wakati huo, kwa kuwa hawakuwa na serikali. Hilo vipi? Kama anakiri Libya haikusaini mkataba huo pesa hiyo ilitokaje? Je, Mwanasheria Mkuu wa serikali hakumuonya juu ya suala hilo?
Lakini badala yake Membe alimwandikia barua ya kurasa nyingi ya kejeli haswa, na kwa kutumia mahakama pesa hiyo ilitoka. Nusra Mkurugenzi wa NMB akamatwe kwa amri ya mahakama kwamba amedharau amri "halali" ya mahakama. Amri gani? Kutoa fedha kwa kampuni ya MEIS na Membe. Huu ulikuwa wizi kama wizi mwingine wowote. Maelezo haya ya Membe yanathibitisha mtu huyu ana matatizo. Haraka ilitoka wapi hadi watu kupigana vikumbo mahakamani. Ni vyema anyamaze. Aibu!!!
nyingine zilienda kujenga NAFF HOTELHii pesa imeliwa na wajannja Maembe akiwa mmoja wapo.Maembe aliisimamia kesi kidete mpaka akashinda aliyemtaka.Sasa Membe aseme pesa zipo wapi?au kiwanda kipo wapi?
AMEENDA KUJENGEA NAFF HOTEL BADALA YA KIWANDA SHAME MEMBEHilo deni unalipia wewe, wanaotesea ni membe na watoto wake uingereza huko.