Maelezo ya Bernard K. Membe, Kuhusu Fedha za Deni la Libya

Maelezo ya Bernard K. Membe, Kuhusu Fedha za Deni la Libya

Benard Camilius Membe amekuwa akijaribu kuzungumzia ufisadi na nia yake ya kupambana na ufisadi kila apatapo nafasi ya kuzungumza. Hata hivyo anapaswa kuelezea tuhuma dhidi yake kuhusu fedha zaidi ya dola za marekani 20 milioni za mkopo uliorekebishwa kutoka Libya. Suala hili limekuwa likisemwa chini chini na hivyo membe mwenyewe kulipotezea lakini ni jambo lenye kuhitaji Maelezo ya kina kabisa.

Msaada huu ulikuwa uwekezwe kwenye kiwanda cha Simenti mkoani lindi ili kuongeza uzalishaji wa simenti nchini na kuongeza ajira kwa Watanzania. Je kiwanda kimejengwa? Je ndugu Membe anahusika vipi na tuhuma hizi kuhusu fedha za Libya? Kwenye nchi zenye misingi thabiti ya uwajibikaji Waziri Membe alipaswa kuwekwa kikaangoni na Bunge kueleza jambo hili. Kwa kuwa anagombea Urais ni muhimu alisemee.
Teh teh

Anaitwa jasusi nguli
 
Hicho kiwanda kwa asilimia labda kilifika 10% sio hiyo inayosemwa maana napafahamu na nilishaenda mara nyingi tu
Tumeelezwa kuwa ujenzi wa kiwanda ulifikia asilimia 45 na kingeanza kazi mwaka 2015. Ninajiuliza je hivi sasa kuna kiwanda cha saruji Mkoa wa Lindi kinachofanya kazi?.
 
Ametoa ufafanuzi mzuri sana.
But let's wait and see.
Upi huo au wakiwanda kimefikia asilimia 45 tokea December 2015 hadi leo June 2019 uzalishaji ujaanza mkuu?

Umezidisha mahaba kwa Camilius hadi huoni kama kajikanyaga mwenyewe kutokana na maelezo yake
 
Ama kweli za mwizi zikifika kwenye arobaini hakifichiki kitu...Ukiunganisha doti zilizomo kwenye uzi huu, unagundua kabisa jinsi viongozi na watendaji wa awamu ya nne walivyoishi kama malaika kwa kutumia pesa ya ulaghai na ufisadi.

Kabla ya kifo cha Kanali Ghaddaffi kilitanguliwa na kifo cha afisa mmoja wa ubalozi wa Libya.

Mazingira ya kifo chake tata ambacho kilitokea wakati wa vuguvugu la kumng oa Kanali Ghaddaffi yanatia mashaka hasa ukiunganisha na hii hadithi ya Membe ya kiwanda cha simenti huko Lindi na hasa ukizingatia kuwa mabalozi wa nchi za nje ni washirika wa wizara ya mambo ya nje ambayo wakati huo Membe alikuwa kinara.
 
Tukifikia hatua ya kudharau maamuzi ya mahakama zetu basi utawala sheria utakuwa hatarini.Ndio maana muhimili wa mahakama unatakiwa uwe indepedent Executive isiweke mkono wake kuteuwa Jaji mkuu na majaji pawepo na judicial commission ambayo itakuwa responsible kwa kuteuwa majaji kwa kufuata vigezo sahihi through interview.
 
Tukifikia hatua ya kudharau maamuzi ya mahakama zetu basi utawala sheria utakuwa hatarini.Ndio maana muhimili wa mahakama unatakiwa uwe indepedent Executive isiweke mkono wake kuteuwa Jaji mkuu na majaji pawepo na judicial commission ambayo itakuwa responsible kwa kuteuwa majaji kwa kufuata vigezo sahihi through interview.
MAJI HAWA HAWA WANAHONGWA KILA SIKU MWINGINE ALIPEWA 480ML AKASEMA NI MCHANGO WA HARUSI WA MWANAYE UNATEGEMEA ATENDE HAKI MTU KAMA HUYO
 
lukaminde

Uongo mtupu! Kama kulikuwa na huo unaodai mkataba hebu uweke hapa jamvini. Kiitwacho mkataba na Bw Membe ni kama draft ambayo serikali ya Libya ilikuwa haijasaini, ni suala lilikuwa bado linajadiliwa. Hapakuwa na mkataba hata siku moja. Hii ilikuwa daylight robbery. Ni aibu kwa mtafuta Urais wa nchi. Usafi wako upo wapi hapa?
1131821
 
Kichwa kinauma sijui nikae upande wa mahakama ,ama Membe ama wanaosema Membe kala hela za Libya

Yaani information za pande zote zimenifanya nishindwe ku draw informed conclusion.
 
Kafukue uzi wake tuje tuujadili lakini hapa mjadala unahusu kitu kingine, hiyo double standard unayohisi hata wewe unaifanya kwa kila mjadala wa ufisadi kuibuka na hoja hii na kuacha hoja iliyo mbele. Kila mjadala ujitegemee, changia mada iliyo mezani ...
ccm wote wanafanana,slaa included
 
Ila utawala wa JK ulikua mzuri sana haitatokea. Upigaji njenje. Kama hukutajirika enzi za JK sahau. Nchi ilisimama kwa muda kufanya maendelea ikajikita kuendeleza watu binafsi.

Tangu mwaka 2015 hadi Leo lindi haina kiwanda.

Jembe langu Nape sijui analifahamu hili ili awasaidie wana Lindi.

Takukuru fanyeni kazi kwa weledi bila kuogopa ama kuongea.
 
Ila utawala wa JK ulikua mzuri sana haitatokea. Upigaji njenje. Kama hukutajirika enzi za JK sahau. Nchi ilisimama kwa muda kufanya maendelea ikajikita kuendeleza watu binafsi.

Tangu mwaka 2015 hadi Leo lindi haina kiwanda.

Jembe langu Nape sijui analifahamu hili ili awasaidie wana Lindi.

Takukuru fanyeni kazi kwa weledi bila kuogopa ama kuongea.
hizo hela zlikuwa zinanemeesha wakubwa na vidagaa tulikuwa tunaponea humo , tukadai et uchumi ulikuwa mzuri
 
Chini ya mkoloni mweusi CCM ufisadi kamwe hautaweza kuondoka Tanzania kwani CCM ni chama kilichoasisiwa kwa malendo maalum ya kuwatia ujinga Watanzania na waafrika wa Kusini kwa mwa Afrika na Umaskini mkubwa. Huku serikali ikitumia mabilion ya pesa kuwamulika watu na Matambiko ya Mwenge na ibada zake za kuzimu.

Mkoloni Mzungu na Ubaya wake lakini alijenga majumba nchi nzima kila mkoa na wilaya na kuzifanya kuwa Mali ya umma lakini Chini ya mkoloni Mweusi CCM na serikali yake walizichukua nyumba za umma na kujimilikisha na kuipa serikali hasara kubwa sana.
Tena waovu wengi walioshiriki uhuni huo hawana hata watoto wawili zaidi ya Tamaa tu ya wao kuimiliki NGO inayoitwa Tanzania na mali zake.

Kakiwanda kadogo tu kama ka Saruji lakini serikali nzima inatolea macho mpaka Mwenye kutoa mkopo anaamua kusepa zake mana anaona ni janja ya nyani kutaka kula mahindi.

Tanzania tungemua kuwekeza kwenye Sanaa hasa Soka na Mbio za Marathon tungekua na mbilionea wa kutosha kuwekeza mabilion ya pesa hapa nyumbani bila kuhangaika na mikopo yenye kunyemelewa na wanasiasa ili wapate pa kupiga.

Membe ajisafishe zaidi mana hiyo kashfa imemtaja sana na hata Kile kigazeti Fulani kimemtaja tena.
Vinginevyo serikali imchunguze huyo kada wa CCM mapema kabla hajatwaa kijiti endapo ataweza kuushawishi umma ukamkubali.
Tunataka 2020 wagombea wasafi wenye kulinda katiba na sheria za nchi.

Hatutaki tena nchi hii aibuke kiongozi Mwenye makandokando na hasa ambaye amejinufaisha na mali za umma kwani anashindwa kuchukua hatua kwa haki zaidi ya visasi na kuwa na double standard kwa makosa yale yale.
 
Back
Top Bottom