Maduka ya watu wa Bara yachomwa Zanzibar; yadaiwa ni kampeni dhidi ya Muungano!

Nipo gym, ngoja waguse anga zangu hao wala ukwaju; vita ni vita muraa! Kama serikali haipo ama ipo likizo,basi wananchi tutakuwepo kwa niaba yao!

Hawa ni wauza mbao na maduka huku bara,waanze kufunga virago tartibu.

Hali sasa sio salama kwa mbara kuwa znz kwa sasa, take care wabara!
Mkuu najua umeguswa sana na suala la wazenji kuchoma nyumba za biashara za watanganyika. Ila naona ni busara sasa kujiita watanganyika badala ya wabara kwani sisi sio wasio na kwao!! umenisoma mkuu?
 
matatizo ya muungano kutatuliwa kisiasa ndo tatizo kubwa sana.......vikao wanakaa lakini ni vya kisiasa halafu lengo ni kutatua matatizo ya muungano...hii ni aibu kubwa sana.............wazanzibari wana frustration sana......mambo mengi wanasingizi muungano ....wanadhani umasikini wao unatokana na muungano.....
 
mimi natabili kuwa huu muungano utavunjwa kwa njia ya mapigano na machafuko kama hamuamini basi subirini mtaona mwisho wa siku
kwani kuna watu wanalazimishwa kuwa ktk muungano wasio uhitaji
Na subirini mtapata majibu mepesi sana kutoka kwa watawala wetu juu ya hili swala la kuchoma moto maduka ya watanganyika
 
nawasikitikia ndugu zangu wapemba,kazi yao kubwa ni uvuvi na uchuuzi wa bidhaa,shughuli ambayo inahitaji soko ambalo ni watu wengi kama huku bara.sasa zogo likipamba moto magari,nguo nk watamuuzia nani maana soko la zbr limeshakuwa saturated
 
Tusilipize kisasi jamani sababu tukilipiza wao ndio wataumia zaidi. Au tukate umeme tusikate?
 
Jana kwenye taarifa ya habari ITV saa mbili usiku 8.5.2011 iliripotiwa kuwa watu wa bara(watanganyika) walichomewa vibanda vyao na Wazanzibar wakiwataka kurudi kwao na kusema hawautaki muungano kwa hali hii serikali imeendelea kukaa kimya je inasubiri watu wauane ndio ione kuna umuhimu wa kuujadili upya muungano huu maana siku moja wabara nao watajibu mapigo kwa wanzanzibar hawa wanaodai uhuru wa Zanzibar yao........wanajamii je huu si muda muafaka kuujadili muungano huu naomba sisi tuanzishe mjadala na serikali iige kutoka kwetu naomba kuwasilisha
 
Jana kwenye taarifa ya habari ITV saa mbili usiku 8.5.2011 iliripotiwa kuwa watu wa bara(watanganyika) walichomewa vibanda vyao na Wazanzibar wakiwataka kurudi kwao na kusema hawautaki muungano kwa hali hii serikali imeendelea kukaa kimya je inasubiri watu wauane ndio ione kuna umuhimu wa kuujadili upya muungano huu maana siku moja wabara nao watajibu mapigo kwa wanzanzibar hawa wanaodai uhuru wa Zanzibar yao........wanajamii je huu si muda muafaka kuujadili muungano huu naomba sisi tuanzishe mjadala na serikali iige kutoka kwetu naomba kuwasilisha

Hii ni dalili ya wananchi wa kawaida kuchoshwa na muungano. Serikali tupieni macho hilo na mlifanyie kazi.
 
Mh! Wanatupeleka kubaya hawa. hakuna haja ya kulipa kisasi, utoto unawasumbua, wakikua wataacha. Hata kama hawautaki Muungano sidhani kama hii ndio njiia muafaka yab kueleza hisia zao


Hapana, hatuwezi kukaa kusuburi wakue wakati wanahatarisha usalama na amani ya nchi, Serikali ya Muungano iingilie kulinda haki za msingi na za kikatiba za raia wake. Ichukue hatua haraka dhidi ya watu hawa na kukomesha mara moja hali hii. Shamshi, nitashangaa kama atakosa taarifa za kiintelijensia katika hili
 
Sasa ni wakati wa JK kukunjurua makucha na kuonyesha madaraka ya raisi na amiri jeshi mkuu. Shein anafanya nini huko au anaunga mkono? Tunahitaji kusikia juhudi za raisi wa Znz kabla ya Amri jeshi mkuu. Mimi naona wanatangaza vita tu kati yetu na hao wahamiaji wa visiwani wanaojiita wapemba na waunguja. Hii inatosha kabisa kama ni muungano kuvunja, vunjeni na siyo kuvunjia watu mali zao. JK waonyeshe kwamba Znz ni sehemu ya Jamhuri hata kama wakikimbilia Mombasa hamna shida lasivyo tutasumbuliwa na wavivu.
 
Kwa kile kinachoonekana kama chuki dhidi ya watanganyika vijana wa kizanzibari wamechoa maduka huko unguja ya wafanyabiashara wenye asili ya bara na kusababisha hasara ya zaidi ya milioni 400.<br />
<br />
Hawa wameuchoka muungano, hivi na sisi tukiamua kwenda hapo kariakoo itakuwaje?<br />
<br />
Source: Radio TBC at 4PM<br />
taarifa ya habari ITV<br />
<br />
[video=youtube;_FXB48 HHeyQ]http://www.youtube.com/watch?v=_FXB48HHeyQ[/video]
<br />
<br /> LENGO LAKO KARIAKOO IWAKE UKIMBILIE BREWERIES ? Vijana wapo wanawasubili . UCHAGUZI UMEWASHINDA CCM INAPETA KISTAILI YAKE
 
Tusilipize kisasi jamani sababu tukilipiza wao ndio wataumia zaidi. Au tukate umeme tusikate?
Acha waumie si ndo wameanzisha. Unataka sisi tuumie tu kwa sababu tukililipiza kisasi wao wataumia zaidi. Hilo ndo lengo la kisasi "Kuumiza zaidi'
 
WAZANZIBARI HAWATAKIII MUUNGANO NOOOOOOOO

HAMUJUI KISWAHILI NYIE AU VIZIWI HAMUSIKII!!!!


mwada-wachanwa-430x320.jpg

Sura zote zinaonyeka kuwa zimeoriginate Tanganyika lakini kwa sababu ya ufinyu wa fikri wanaona kisiwani kuna neema kweli wakati ni choka mbaya. Tembeeni muone au mvuke maji muone watu wanavyoishi.
 
Jana kwenye taarifa ya habari ITV saa mbili usiku 8.5.2011 iliripotiwa kuwa watu wa bara(watanganyika) walichomewa vibanda vyao na Wazanzibar wakiwataka kurudi kwao na kusema hawautaki muungano kwa hali hii serikali imeendelea kukaa kimya je inasubiri watu wauane ndio ione kuna umuhimu wa kuujadili upya muungano huu maana siku moja wabara nao watajibu mapigo kwa wanzanzibar hawa wanaodai uhuru wa Zanzibar yao........wanajamii je huu si muda muafaka kuujadili muungano huu naomba sisi tuanzishe mjadala na serikali iige kutoka kwetu naomba kuwasilisha

Angalia hapa mkuu. Naona hii thread imekuwepo muda mrefu: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ar;-yadaiwa-ni-kampeni-dhidi-ya-muungano.html
 
Jamani eeh mapenzi yana mwisho kama kasichana unachokapenda kamepata mwingine katakusumbua kaache kaende kwani kabla yake uliishije?
 
kwa kweli ni utoto unawasumbua wakikua wataacha, natamani kusikia tamko la siri-kali kwa hili, au labda atalizungumzia wasirra mwenye hasira ambaye huwa mkali sana yakitokea maandamano ya amani..kwake hapa haoni cha kusema:bange:
 
Nahodha ndie adui namba moja wa Tanganyika, yeye lazima acheke kwa moto huu, kwani wa kwanza? kumbukeni chuki dhidi ya Bara katika Baraza la Wawakilishi lililopitisha sheria kuwa Zanzibar ni nchi na kuondoa neno Tanzania katika katiba yao ilikuwa serikali ya Nahodha kama waziri kiongozi wa Zanzibar, hafanywi mtu kitu, hao wananchi wamefanya kile wanachokisia kwa wakubwa wao, siku nyingi wameambiwa hao wabara kuwa mtavamiwa na msijibu mashambulizi, walijua Mtanganyika mmoja anawalaza mayakhe kama 20, kwani si wanachekesha wazenji ukiona wanapigana utafikiri videmu.
 
Back
Top Bottom