Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni wa Mataifa mawili na si idadi ya watu. Kihalali mgao wowote ulitakiwa uwe 50/50

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,488
141,205
Huo ndio ukweli.

Wakati wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kule Unguja walikuwa wameshaendelea na wanasiasa wa bara walikuwa wanaangalia TVZ halafu wanajifanya kuja kututabiria Watanganyika.

Kama yameungana mataifa mawili kwa maana ya nchi mbili basi mgao wowote kwa kile kinachopatikana wapaswa kuwa 50/50

Maendeleo hayana vyama!
 
Tena na Bara ilitakiwa kuwe na Tanganyika hapo ndio tungeona shoo hii ya Tanganyika kujifanya Tzn ndio silaha ya kuwapigia Zanzibar..

Screenshot_20220204-210915.png


Screenshot_20220204-211054.png
 
Huo ndio ukweli.

Wakati wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kule Unguja walikuwa wameshaendelea na wanasiasa wa bara walikuwa wanaangalia TVZ halafu wanajifanya kuja kututabiria Watanganyika.

Kama yameungana mataifa mawili kwa maana ya nchi mbili basi mgao wowote kwa kile kinachopatikana wapaswa kuwa 50/50

Maendeleo hayana vyama!

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni wa Mataifa mawili ( nchi 2, faida Za huu muungano ni zipi?​

 
Haina shida hata kwenye kulipa iwe 50/50..
Hata sheria ya Mzanzibar kumiliki ardhi Bara iwe sawa na Mtanganyika kumiliki ardhi Zanzibar.

Kama hela TBL mnapokea basi na kiwanda kingine cha TBL kijengwe huko.
 
Huo ndio ukweli.

Wakati wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar kule Unguja walikuwa wameshaendelea na wanasiasa wa bara walikuwa wanaangalia TVZ halafu wanajifanya kuja kututabiria Watanganyika.

Kama yameungana mataifa mawili kwa maana ya nchi mbili basi mgao wowote kwa kile kinachopatikana wapaswa kuwa 50/50

Maendeleo hayana vyama!
Vip kulipa napo sheikh?
 
Back
Top Bottom