mtageaugustine
Member
- Jan 12, 2015
- 67
- 59
Habari wanajamii forum, naomba msaada wa kujua ni wapi naweza kununua vyakula vya kinigeria. Nina rafiki yangu nilisoma nae huko nchi za watu,amekuja kikazi TZ sasa angependa kujua kwa Dar hivyo vyakula vinauzwa wapi ili awe anajipikia mwenyewe. Ninaomba msaada kama kuna watu wanajua vinapouzwa.