Madudu ya wahitimu vyuo vikuu.

ukiwasikia, nimehitimu mzumbe kumbe hata basic english chali, halafu eti ee kosa la kibinadamu nani kasema, kosa la kutokujua hilo
 
Aibu nyingine ni za kujitakia, kwani angeomba kuandikiwa hiyo cv kungekuwa na tatizo gani? Ili hayo matatizo mengine aje apambane nayo katika usaili wa ana kwa ana?
Kama huyo ni wa chuo kikuu (muhitimu) hali ikoje form 2,4,6? tanzania viongozi wamrudie mungu.
 
Re: Maduu ya wahitimu vyuo vikuu.

unajua ukitaka kukosoa na wewe uwe smart, sasa angalia title ya post yako, hapo nilipo bold ulimaanisha nini?
anyways its "slip of pen" bana
afterall huyo mtu kasoma accounting and finance, hajasoma english
kumbuka pia hiyo ni third laguage kwake, so nothing wrong
 
Barua ya mhitimu Mzumbe University imeibua vicheko visivyo na mwisho kwenye idara ya utumishi hapa ofisini.

...........nawaibia kidogo tu!



"....... I has a bachelar in accounts and finance...."

bora huyo aliyekosea grammer kuliko wewe unayetoa mambo ya ofisi nje! hivi maadili ya kazi siku hizi mbona ni hovyo sana? hauna tofauti na yule anayetoa siri za ndani (unasema mambo ya mpz wako hadharani)
kweli wewe ulipewa nafasi kwa bahati mbaya
 
kama Maprof. wenyewe English chali unategemea Mwanafunzi atakuaje?
 
mh..na matatizo ya kuchanganya "r" na "l" pia tutasingizia nini? mpaka waandishi wa habari na watangazaji wa radio/tv
 
Mkuu naomba usijumuishe kila kitu.Unataka kuniambia wahitimu wote wa mzumbe wako hivyo?....MIND YOUR MANNERS
 
hivyo ndo vyuo vyetu, tunaangalia wengi wa vyuo badala ya miundombinu ya vyuo vilivyopo na taaluma inayotolewa. sasa huyo ni Mzumbe mkongwe je wale wa majuzi je?
 
Hana kosa mfumo wa Tz kuweka mbele kiswahili na matumizi makubwa ya kiingereza maofisini ndo tatizo.
 
Re: Maduu ya wahitimu vyuo vikuu.

unajua ukitaka kukosoa na wewe uwe smart, sasa angalia title ya post yako, hapo nilipo bold ulimaanisha nini?
anyways its "slip of pen" bana
afterall huyo mtu kasoma accounting and finance, hajasoma english
kumbuka pia hiyo ni third laguage kwake, so nothing wrong
what goes around,comes around,huu ndio utamu wa jf
 
Mzumbe ni chuo cha tarafa.Bado hujaona ya kile chuo cha kata DODOMA ambacho ukiingia getini tu unakutana na mnara wa CCM.Unategemea wahitimu wake watakua na tofauti na ccm??.Hili ni janga tunahitaji kulijadili kwa upana wake
 
kama Maprof. wenyewe English chali unategemea Mwanafunzi atakuaje?


Kumbe Maprof. wanafundisha English vyuoni!!
Embu tuache hizo kasumba za ajabu na ndomaana atufanikiwi kwa kukazania kingereza tuu. Na huyo haliyetoa habari za ofisini kwake sijui kama anajua maadili ya kazi yake.
 
siyo huyo tu,,,,sasa naanza kuamini product za mzumbe nazo feki,,,kuna mfanyakazi mwenzangu mmoja,asubuhi na mapema unamkuta kavaa sunglasses,anaenda ofisini,hamna hata jua.alafu mchana mida ya lunch namkuta amezivua...Mzumbe vijimambo 2pu

Aise we jamaa huna kifua una tabia ya umbea pia unajifanya elimu bora sana we itakua chuo ulikua unasoma language mwenzio kasoma accounts ivi unajua kuna wachina wenye elimu kubwa na hawajui kingereza
 
Aise we jamaa huna kifua una tabia ya umbea pia unajifanya elimu bora sana we itakua chuo ulikua unasoma language mwenzio kasoma accounts ivi unajua kuna wachina wenye elimu kubwa na hawajui kingereza
what is your agenda?...sijakuelewa.
 
Back
Top Bottom