Steven Robert Masatu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2009
- 2,458
- 1,821
Kosa la Muhando liko wapi hapo sasa?
nami nina the same swali,
hiyo kampuni kama imefuata taratibu zote na imeshindanishwa kama sheria za manunuzi zinavyotaka mimi sion ubaya wowote wa mhando.
ebu mleta mada na wachangiaji wenzagu mnifafanulie hili suala.