MADUDU mengine ya Mali asili na Utalii

Chaimaharage

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
211
78
Kuna taarifa kutoka vyanzo vyetu vilivyo Wizara ya Maliasili na Utalii kuwa ile stock ya meno ya tembo ambayo serikali ilikataliwa kuiuza na shirikisho linalo simamia wanyama walio katika hatari ya kutoweka Duniani(CITES) imeanza kutoweka kinyemela.

Kilichofanyika awali ni kwamba watumishi wote walipewa amri ya kutokuwa ofisini ifikapo saa moja jioni ambapo ni mwisho wa kuonekana mazingira yale. Kumbuka kuwa kuna wengine ambao wanakuwa wana kazi za kiofisi ambapo huweza kukaa hata saa 2 usiku ili kuweza kuzimaliza kwa wakati.

Lakini cha ajabu baadhi ya viongozi hasa wa Idara ya wanyamapori wamekuwa wakionekana maeneo ya ofisi hata baada ya saa 2 usiku tofauti na amri waliyowekewa watumishi wa ngazi za chini inayo onekana kuwalenga zaidi wao.

Sasa mchezo unaofanywa ni kwamba linaingia lori usiku na kuondoka na mzigo. Mtandao wenyewe unaohusika ni mkubwa na siyo kwa viongozi wa Idara hiyo peke yao. Zimefungwa hadi camera kwenye ma-godown yenye meno hayo ili hata kiasi cha mzigo unaoondoshwa kionekane ili katika mgao kusiwepo kuthulumiana. sababu mtu anaweza kusema tumetoa contena moja kumbe ni mawili.

Kwa kawaida meno ya tembo yanapokamatwa iwe porini kutoka kwa majangiri au kwingineko huwa yana pigwa muhuri maalumu kama utambulisho ili yakitoweka ijulikane. Mihuri yenyewe hupigwa upande wa mwisho wa jino na juu. Na ndivyo askari wote wa wanyamapori wanavyoelekezwa kufanya. Sasa jiulize kwanini hawa ruhusiwi kupiga mihuri hiyo sehemu za katikati ya meno? Hebu ona sababu yenyewe;

Wanachofanya hawa jamaa wana kata sehemu ya juu ya meno yenye muhuri na ya chini pia. Kwahiyo sehemu yote ya katikati inabaki haina alama yoyote kiasi hata yakikamatwa mbele ya safari isijulikane kuwa yametokea pale kwenye yale maghala.

Hivyo mwisho wa siku mzigo wote utakwisha na hatujui wa kumkamata ni nani.
 
DUUUUUUU
kazi kweli kweli
nahivi baraza la mawaziri ndio laenda kubadirishwa,basi kila mtu anafanya atakalo
 
DUUUUUUU
kazi kweli kweli
nahivi baraza la mawaziri ndio laenda kubadirishwa,basi kila mtu anafanya atakalo
 
kama kashare kanaenda serikalini itakuwa ni mpango wa kiakili sana.lakini kama zinaingia kwa kina maige mh!sina la kuchangia
 
Nadhani ni wizara zote na siyo hiyo moja sema tu wanabahati habari zao wanafanikiwa kuziminya
 
Duh! kumbe ndivyo ilivyo, hapa nimechoka kabisa nahisi hii wizara baada ya JK kumaliza muda wake kutakuwa hakuna kilichobaki
 
Duh! kumbe ndivyo ilivyo, hapa nimechoka kabisa nahisi hii wizara baada ya JK kumaliza muda wake kutakuwa hakuna kilichobaki
madudu hayakuanza leo ktk wizara hiyo na hasa idara ya wanyama pori.mnamshangaa maige kununua nyumba kwa $700 lakh,jiulizeni aliyepata kuwa mkurugenzi wa TAWICO na baadaye kuwa mkurugenzi wa idara ya wanyama pori alipatajepataje ubillionea?!Kwa nyongeza yule jangili mkuu Pano Calvarias anaishi na kuendesha shughuli zake nchini licha ya kuwa hatakiwi na uhamiaji.
 
Kuna taarifa kutoka vyanzo vyetu vilivyo Wizara ya Maliasili na Utalii kuwa ile stock ya meno ya tembo ambayo serikali ilikataliwa kuiuza na shirikisho linalo simamia wanyama walio katika hatari ya kutoweka Duniani(CITES) imeanza kutoweka kinyemela.

Kilichofanyika awali ni kwamba watumishi wote walipewa amri ya kutokuwa ofisini ifikapo saa moja jioni ambapo ni mwisho wa kuonekana mazingira yale. Kumbuka kuwa kuna wengine ambao wanakuwa wana kazi za kiofisi ambapo huweza kukaa hata saa 2 usiku ili kuweza kuzimaliza kwa wakati.

Lakini cha ajabu baadhi ya viongozi hasa wa Idara ya wanyamapori wamekuwa wakionekana maeneo ya ofisi hata baada ya saa 2 usiku tofauti na amri waliyowekewa watumishi wa ngazi za chini inayo onekana kuwalenga zaidi wao.

Sasa mchezo unaofanywa ni kwamba linaingia lori usiku na kuondoka na mzigo. Mtandao wenyewe unaohusika ni mkubwa na siyo kwa viongozi wa Idara hiyo peke yao. Zimefungwa hadi camera kwenye ma-godown yenye meno hayo ili hata kiasi cha mzigo unaoondoshwa kionekane ili katika mgao kusiwepo kuthulumiana. sababu mtu anaweza kusema tumetoa contena moja kumbe ni mawili.

Kwa kawaida meno ya tembo yanapokamatwa iwe porini kutoka kwa majangiri au kwingineko huwa yana pigwa muhuri maalumu kama utambulisho ili yakitoweka ijulikane. Mihuri yenyewe hupigwa upande wa mwisho wa jino na juu. Na ndivyo askari wote wa wanyamapori wanavyoelekezwa kufanya. Sasa jiulize kwanini hawa ruhusiwi kupiga mihuri hiyo sehemu za katikati ya meno? Hebu ona sababu yenyewe;

Wanachofanya hawa jamaa wana kata sehemu ya juu ya meno yenye muhuri na ya chini pia. Kwahiyo sehemu yote ya katikati inabaki haina alama yoyote kiasi hata yakikamatwa mbele ya safari isijulikane kuwa yametokea pale kwenye yale maghala.

Hivyo mwisho wa siku mzigo wote utakwisha na hatujui wa kumkamata ni nani.

Tutafika no sooner
 
pia nashangaa sana kuna maafisa wengine wapo hapo wizarani wao wenyewe ni majangili ..tayari wana skendo nyingi lakini eti ndo viongozi wa idara ya wanyamapori hata juzi bungeni katajwa....mimi sijui sasa hii inchi yaelekea wapi.....wana JF....!
 
please.............. Acha kuwa dumb a$$

uelewa wako juu ya suala hili ni mdogo ndio maana unaishia kutukana.
Wakenya walifanya harakati za kutuzuia tusiuze hizi pembe,ulinzi wa hizi pembe unatugharimu kwa hiyo kama tumebuni mbinu ya kuziuza itakuwa safi sana.Tatizo ni kwamba hela za mauzo zikishindwa kuingia serikalini.
Hebu jaribu kuwa great thinker na sio mropokaji tu.asssssss hole!
 
Unajua when you are not serious hata subordinates wako nao watakukejeli!
 
Kuna taarifa kutoka vyanzo vyetu vilivyo Wizara ya Maliasili na Utalii kuwa ile stock ya meno ya tembo ambayo serikali ilikataliwa kuiuza na shirikisho linalo simamia wanyama walio katika hatari ya kutoweka Duniani(CITES) imeanza kutoweka kinyemela.

Kilichofanyika awali ni kwamba watumishi wote walipewa amri ya kutokuwa ofisini ifikapo saa moja jioni ambapo ni mwisho wa kuonekana mazingira yale. Kumbuka kuwa kuna wengine ambao wanakuwa wana kazi za kiofisi ambapo huweza kukaa hata saa 2 usiku ili kuweza kuzimaliza kwa wakati.

Lakini cha ajabu baadhi ya viongozi hasa wa Idara ya wanyamapori wamekuwa wakionekana maeneo ya ofisi hata baada ya saa 2 usiku tofauti na amri waliyowekewa watumishi wa ngazi za chini inayo onekana kuwalenga zaidi wao.

Sasa mchezo unaofanywa ni kwamba linaingia lori usiku na kuondoka na mzigo. Mtandao wenyewe unaohusika ni mkubwa na siyo kwa viongozi wa Idara hiyo peke yao. Zimefungwa hadi camera kwenye ma-godown yenye meno hayo ili hata kiasi cha mzigo unaoondoshwa kionekane ili katika mgao kusiwepo kuthulumiana. sababu mtu anaweza kusema tumetoa contena moja kumbe ni mawili.

Kwa kawaida meno ya tembo yanapokamatwa iwe porini kutoka kwa majangiri au kwingineko huwa yana pigwa muhuri maalumu kama utambulisho ili yakitoweka ijulikane. Mihuri yenyewe hupigwa upande wa mwisho wa jino na juu. Na ndivyo askari wote wa wanyamapori wanavyoelekezwa kufanya. Sasa jiulize kwanini hawa ruhusiwi kupiga mihuri hiyo sehemu za katikati ya meno? Hebu ona sababu yenyewe;

Wanachofanya hawa jamaa wana kata sehemu ya juu ya meno yenye muhuri na ya chini pia. Kwahiyo sehemu yote ya katikati inabaki haina alama yoyote kiasi hata yakikamatwa mbele ya safari isijulikane kuwa yametokea pale kwenye yale maghala.

Hivyo mwisho wa siku mzigo wote utakwisha na hatujui wa kumkamata ni nani.

Kuhusu kutolewa ghalani inawezekana kabisa kuna watu wanafanya mchezo huo, lakini hilo la kutopigwa mihuri sehemu ya kati sio kweli meno mengine hupigwa hata kati inategemea na aliyekuwa anagonga mihuri husika. Nina utaalamu na mambo ya wanyampori.
 
Nasikia kizunguzungu yaan kila kukicha unasikia hiki mara kile hivi tumelogwa na nani?Jamani hivi mkitembelea nchi za wenzetu hamuoni maendeleo na jinsi watu wanavyopenda nchi zao?Tunaishi kupia picha tu na kupost kwenye Blogs na FB.
 
Back
Top Bottom