Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Jamani wala msiende mbali Kama huyu Presidaa alibariki wezi wa EPA kwa kuwataka na kuwapa muda warudishe narudia tena warudishe pesa walizokwiba bila mashtaka, mnadhani kuna mtu ataogopa kuiba? hii li Serikali la Chama cha MAGAMBA ndilo limeleta shida yote ktk nchi hii!! wamebariki wizi!!