Katika hali ya muendelezo wa madudu katika mahakama yetu ya Tanzania, mwezi June mahakama iliajiri Mahakimu wakazi wapya 300 wenye degree za sheria(LL.B) na kupitia lawschool ili wakafanye kazi katika mahakama za mwanzo(kata).
jambo la kushangaza ni kuwa sheria inayoongoza mahakama za chini The Magistrate Courts Act Cap 11 hairuhusu mahakimu hao (Mahakimu Wakazi) kufanya kazi katika mahakama za mwanzo. hivyo mahakimu Wakazi hao hadi leo hii hawana kazi za kufanya, kila siku wanaahidiwa kuwa sheria itakuwa amended lakini hadi bunge la mwezi october limepita bila sheria kubadilishwa
jambo la kushangaza ni vile uongozi wa Mahakama ulivyokaa kimya na kuwasahau hawa vijana wenye moyo wa kuwatumikia wananchi wenzao kwa ari mpya (!) bila kuwaambia lini sheria itabadilishwa.
.
mahakimu hawa kuendelea kulipwa SALARY bila kufanya kazi ni ufisadi na mataumizi mabaya ya pesa za walipa kodi wa taifa hili wakati ni dhahiri kuwa MAHAKIMU HAWA WANARUHUSIWA KISHERIA KABISA KUFANYA KAZI KATIKA MAHAKAMA ZA WILAYA NA MAHAKAMA ZA HAKIMU MKAZI AMBAZO HAZINA MAHAKIMU WA KUTOSHA .
TATIZO LINALOJITOKEZA HAPA NI UGONJWA WA KUFANYA MAAMUZI YA MSINGI UNAOWASUMBUA VIONGOZI WETU.LISSU AKISEMA ETI ANAWADHARAU MAJAJI KWEELI??????timely justice for all
jambo la kushangaza ni kuwa sheria inayoongoza mahakama za chini The Magistrate Courts Act Cap 11 hairuhusu mahakimu hao (Mahakimu Wakazi) kufanya kazi katika mahakama za mwanzo. hivyo mahakimu Wakazi hao hadi leo hii hawana kazi za kufanya, kila siku wanaahidiwa kuwa sheria itakuwa amended lakini hadi bunge la mwezi october limepita bila sheria kubadilishwa
jambo la kushangaza ni vile uongozi wa Mahakama ulivyokaa kimya na kuwasahau hawa vijana wenye moyo wa kuwatumikia wananchi wenzao kwa ari mpya (!) bila kuwaambia lini sheria itabadilishwa.
.
mahakimu hawa kuendelea kulipwa SALARY bila kufanya kazi ni ufisadi na mataumizi mabaya ya pesa za walipa kodi wa taifa hili wakati ni dhahiri kuwa MAHAKIMU HAWA WANARUHUSIWA KISHERIA KABISA KUFANYA KAZI KATIKA MAHAKAMA ZA WILAYA NA MAHAKAMA ZA HAKIMU MKAZI AMBAZO HAZINA MAHAKIMU WA KUTOSHA .
TATIZO LINALOJITOKEZA HAPA NI UGONJWA WA KUFANYA MAAMUZI YA MSINGI UNAOWASUMBUA VIONGOZI WETU.LISSU AKISEMA ETI ANAWADHARAU MAJAJI KWEELI??????timely justice for all