Mahakama ya Tz inashitakiwa vipi na wapi?

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Sep 20, 2021
3,214
3,587
Katiba Mpya kama itaandikwa au sheria mpya itungwe ili zieleze ni vipi na wapi Mahakama inaweza kushitakiwa.

Hii itafanya Majaji na Mahakimu kuwakana warasimu/wanasiasa wanaoingilia kazi zao; kwamba wanaogopa taasisi ya Mahakama kushitakiwa.

Pia watumishi wa idara ya Mahakama watapunguza kula rushwa kwa ajili ya kupotosha hukumu.

Niliwahi huko nyuma kuhoji humu takwimu za Majaji na Mahakimu walio jela tukizingatia kuwa Mahakama ndiyo kitovu cha rushwa nchi hii.



Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Watanganyika wakae tayari kwa lelote tarehe saba mwezi huu wanane.

Ni siku ya Ukombozi barani Afrika.
 
Watanganyika wakae tayari kwa lelote tarehe saba mwezi huu wanane.

Ni siku ya Ukombozi barani Afrika.
Mahakama hiyo haina uwezo bali Mahakama ya Pretoria kwa sheria za Kiingereza (UK) kwa sababu MoU imeishasainiwa kwa vigezo na masharti hayo. Dawa ni kuuvunja ili tudaiwe fidia hata kwa miaka 100.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Mahakama hiyo haina uwezo bali Mahakama ya Pretoria kwa sheria za Kiingereza (UK) kwa sababu MoU imeishasainiwa kwa vigezo na masharti hayo. Dawa ni kuuvunja ili tudaiwe fidia hata kwa miaka 100.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Wapo wanaosema Mwekezaji hana njaa, wakimaanisha hata mahakama ikibatilisha mkataba ule, hawatadhurika. Wana pesa Ati!

Watanzania hawajaridhishwa kabisa na mkataba huu.
 
Back
Top Bottom