The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Naomba niwajulishe nyie mabinti wa kuanzia miaka 25 na kuendelea, madogo wa miaka 18 hadi 20 wamemaliza mitihani ya kidato cha sita, wanaingia rasmi mtaani.
Sasa hivi ni halali kabisa maana hakuna cha miaka 30 jela wala kubaka, alafu hawa watoto wengi wanaingia mtaani na kilomita zinasoma chache maana wengi hua wanabanwa sana wakiwa masomoni.
Huu ni msimu mpya wa korosho, zile za mwaka jana zilizoko ghalani soko litakua gumu sana.
Hivi sasa hivi nihangaike na mwanamke wa miaka 30 sijui 28 napeleka wapi watoto wabichi kabisa wanaingia utu uzima wa kisheria kila siku? Labda kama nataka kuoa ila kwa starehe mwanamke wa miaka 30 wa kazi gani?
Kwa sasa mimi mwanamke wa mwanzoni mwa miaka ya 90 sitongozi, labda anitongoze yeye anipe bure naweza kumhurumia nikamla kwa kufanyaje. Watoto wa kuanzia mwaka 2000 ni halali kula kama hasomi, hawa wa mwaka huu wengi wamezaliwa miaka hiyo na sasa hakuna kipingamizi tena cha kuwala.
Kula mifupa meno angali bado ikoooo!
Sasa hivi ni halali kabisa maana hakuna cha miaka 30 jela wala kubaka, alafu hawa watoto wengi wanaingia mtaani na kilomita zinasoma chache maana wengi hua wanabanwa sana wakiwa masomoni.
Huu ni msimu mpya wa korosho, zile za mwaka jana zilizoko ghalani soko litakua gumu sana.
Hivi sasa hivi nihangaike na mwanamke wa miaka 30 sijui 28 napeleka wapi watoto wabichi kabisa wanaingia utu uzima wa kisheria kila siku? Labda kama nataka kuoa ila kwa starehe mwanamke wa miaka 30 wa kazi gani?
Kwa sasa mimi mwanamke wa mwanzoni mwa miaka ya 90 sitongozi, labda anitongoze yeye anipe bure naweza kumhurumia nikamla kwa kufanyaje. Watoto wa kuanzia mwaka 2000 ni halali kula kama hasomi, hawa wa mwaka huu wengi wamezaliwa miaka hiyo na sasa hakuna kipingamizi tena cha kuwala.
Kula mifupa meno angali bado ikoooo!