asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Karibuni kwenye harakati za mabadiliko.
acheni zenu hata katibu mkuu kinana alisha sema hayo ni makapi hatuna haja nayo..madiwani wote wa ccm toka halmashauri ya meru mkoani arusha wote wamehamia chadema
mbuyu unapondeka kwakakasi sana ccm kwishenei kwishenei.
Muda huu madiwani hao wamehamia chadema
Mwenyekiti wa chama yuko bize kucheza miziki na wasanii wenzie
Source?
WATANZANIA HATUITAJI
MABADILIKO, KAZI YETU USHABIKI
TU WA WAGOMBEA HVYO BASI:-
Mkulima azid kukomaa
machnga hvo hvo
mbeba cago akazane mpga debe aongeze bidii
anayepata rzki kwa uswahl akomae na
uswahl wake.
WATUMISHI WA SERIKALI NAO
WAHESHM KAZ ZAO KWANI
TUMERUHUSU AKIL NDOGO IONGOZE AKILI KUBWA.
KWA HUU USHABIKI WACHACHE
NDIO WATAKAONUFAIKA TU
CCM ndo kwa heli
Wakati huu nchi haina madiwani mabaraza yameshavunjwa. wapo watia nia
Bora ugambani tumuachie Mkwere na makomeo.
Huwezi zuia mafuriko kama haya kwa mikono,ni bora kudandia mapema mchuma unaondoka ucje juta umeachwa!.
Jk jana alikuwa ana kula Bata na washkaji zako Milliman city
Hakika sasa hakuna ubishi tena kuwa mnara wa babeli unazidi kuporomoka kwa kasi ya kutisha!
Ni hakika pia kuwa huwezi kuzuia mafuriko kwa viganja vya mikono.
Ni hakika pia kuwa hivi sasa Sisiemu inapumulia 'mashine za oxygen' kuwafanya angalau wasogeze sogeze kidogo siku za uhai wao.
Siku ambayo jopo la madaktari [vyombo vya dola] watakapofanya maamuzi magumu ya kuzima 'mitambo' hiyo ya oxygen, ndiyo siku hiyo hiyo itakuwa mwisho wa uhai wa Sisiemu.
safi sana mvua imeanza kunyesha sasa ccm wangoje kusombwa na mafuriko.