Madiwani watatu Meru wajiunga CHADEMA

Madiwani watatu Meru wajiunga CHADEMA

Mashallah....hili ni fundisho kwa Nape na timu yake walipotaka kumbeba Membe kwa kuwachafua wagombea wengine. sasa popote alipo Nape akazuie mafuriko kwa mikono
Madiwani wote wa CCM toka Halmashauri ya Meru Mkoani Arusha wote wamehamia CHADEMA

Mbuyu unapondeka kwakakasi sana CCM kwishenei kwishenei.

Muda huu Madiwani hao wamehamia CHADEMA
 
Madiwani wote wa CCM toka Halmashauri ya Meru Mkoani Arusha wote wamehamia CHADEMA

Mbuyu unapondeka kwakakasi sana CCM kwishenei kwishenei.

Muda huu Madiwani hao wamehamia CHADEMA
KWANI HUKO KWENU BARAZA LA MADIWANI HALIJAVUNJWA? CKU HZ HATUNA DIWANI BALI TUNA WAGOMBEA UDIWANI. NDO MAANA LIPUMBA KAACHANA NA ULAGHAI. JANA HAWAKUWA WAZURI WAKIWA CCM LEO WAMEKOSA KURA ZA MAONI WAJIFANYA WANAMAGEUZI DANGANYANENI WENYEWE
 
Eti madiwani wamehama. Ndicho kilichobaki kwa Bavichwa maji. Uongo kila kukicha mkidhani JF ni sanduku la kura. Jazaneni ujinga humu na hamuambulii hata asilimia 10 za kura. Ingekuwa vyema mngetumia muda huu kulima
 
Back
Top Bottom