Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
tamko la kamati kuu ndiyo inayosubiriwa, ila nadhani watafanya lobbying kwanza mpaka madiwani wote waandike barua za kuomba radhi, abaki Mallah peke yake ndiyo afukuzwe kama mbwa koko. kuna kila dalili inaonyeshwa huyu bwana kapewa mlungula na Magamba. hata mahali anaishi ni karibu sana na meya wa kichina Gaudence Lyimo, wametenganishwa na barabara, inawezekana wameongea kichaga wakayamaliza pale pentagon