Madiwani watano CHADEMA waomba radhi

Diwani Nanyaro hakushiriki kwenye muafaka, na tangu mwanzo alishaupinga, sasa aombe radhi kwa kipi??
kwenye hatua za awali Nanyaro alikuwepo, ila kuhusu kuomba radhi nadhani hahusiki, isipokuwa gazeti la Habari leo iliwahi kuandika kuwa madiwani watatu wameomba radhi mojawapo akiwa Nanyaro.
 
Leteni Source kwenye habari zenu, JF, sio sehemu ya porojo
 
Sasa si awafukuze hao waliogoma kuomba msamaha, anaogopa?

Furaha yako wewe ff ni chadema isambaratike - Hutafanikiwa. Utakuwa kama fisi anayemfuata mtu akiomba mungu mkono wa mtu unaoning'inia uanguke, kumbe hauanguki.
 
CCM walijiona washaula kumbe wameula wa chuya,kaza buti twende Dr.!
 
Back
Top Bottom