Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
kwenye hatua za awali Nanyaro alikuwepo, ila kuhusu kuomba radhi nadhani hahusiki, isipokuwa gazeti la Habari leo iliwahi kuandika kuwa madiwani watatu wameomba radhi mojawapo akiwa Nanyaro.Diwani Nanyaro hakushiriki kwenye muafaka, na tangu mwanzo alishaupinga, sasa aombe radhi kwa kipi??