Madiwani waliofukuzwa kwa nini watetewe na serikali?

Sijui kinachojili Arusha. Kwa sasa ni tume kutangaza uchaguzi wa madiwani, kama igunga. Hawa wamefukuzwa chama cha CDM kwa kufuaata taratibu zote za chama chao. Sasa huyo waziri kiongozi, pilipili asiyoilaa inamwashia ni. Kwanza hata waliohusika na uchaguzi wa kamati za hilo jiji wamekiuka kanuni za uchaguzi. Hii serikali yetu imejaa vichekesho vitupu. Mnatutia aibu sana.
 
Mheshimiwa Mchungaji Mbunge wa Iringa Mjini hivi karibuni bungeni alisema: kiongozi wa nchi akiwa ovyooo jua na wa chini yake ndo kabisaaaaaaaaaa na sasa ndo hicho kinachoendelea nchini.
 
Tendwa atoe mwongozo sasa asiishie tu kumshangaa Mukuchika Joji. haitakuwa na maana. ila inashangaza sana kwa aina ya viongozi waliomo serikalini humu
 
Madiwani wa Arusha ni watu makini wapenda amani wana haki ya kwenda kutafuta haki yao mahakamani.<br />
Sheria ni taaluma sio porojo za mitaani kama pro-cdm-JF, wanavyadhani, hii kesi ya madiwani wa Arusha ni ngumu sana kama itachukuwa muda mfupi basi miaka minne
<br />
<br />
////// Nduguyangu umemsikia Tendwa au unaropoka tu ,au unaleta u bush loya wako
 
Madiwani wa Arusha ni watu makini wapenda amani wana haki ya kwenda kutafuta haki yao mahakamani.<br />
Sheria ni taaluma sio porojo za mitaani kama pro-cdm-JF, wanavyadhani, hii kesi ya madiwani wa Arusha ni ngumu sana kama itachukuwa muda mfupi basi miaka minne
<br />
<br />
Utakuwa umekunya togwa si bure
 
suala la madiwani Arusha hakika ni tete na sio jepesi kias hcho serikali inavyofikiri.Serikali kwa kuwa inaonekana kuvutiwa na madiwn hao waitishe uchaguz na wawasimamishe madiwn hao kama wagombea wao.Watu wa Arusha wanaelewa na hawadanganyiki ng'o
 
Back
Top Bottom