Wakazi wa Dodoma hawajui chama kingine zaidi ya ccm!!! Acheni kusema Dodoma kuna chadema ili kupata sifa!!!
Chadema itatoa wapi madiwani ndani ya himaya ya ccm???
Bora wale bata ukiwa cdm kumbe uko kama almasi kweli vile mbona wccccm hawanunuliwi au cdm njaaa kali sana;;;; kuwa cdm kumbe dili.
Kwani na nyie chadema ruzuku mnayo wakinunua mtu na nyie mnanunua! CCM ni kama Real Madrid kila mwanasiasa anataka kuchezea, pamoja na padri slaa.
CHADEMA YAENDELEA KUHUJUMIWA,MADIWANI WAKE WAKE DODOMA WANUNULIWA KUJIUNGA NA CCM.
Wakuu hii habari sio tetesi tena ,naiweka hapa jukwaani kama habari kamili.
Madiwani wa CHADEMA mkoani Dodoma wamedaiwa kunuliwa na CCM ili kuisaliti CHADEMA siku yoyote kuanzia sasa,madiwani hao 3 wanaotajwa kutoka ji,bo la Mtera na 1 hajatajwa anatokea jimbo wala kata gani ndani ya mkoa huo, mpango huo unaoendelea kuratibiwa na viongozi wa CCM mkoa Dodoma kwakwa ushirikiano wa karibu na viogozi wa ACT pamoja na aliyekuwa mgombea wa CHADEMA jimbo la Mtela mwaka 2010 bwana John Lameck Robote/Lugose,mpango ulioratibiwa kwa mda wa takribani mwezi 1 sasa.
Kwa mujibu wa chanzo cha taarifa hii,awali wasaliti hao walikuwa wamepanga wajiuzuru baada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan,kutokana na mpango huo haramu kugunduliwa na intelegensia ya CHADEMA,wameamua kuuharakisha na sasa hautasubiri mwezi mtukufu uishe na mda wowote kuanzia sasa wataitisha mkutano wa waandishi wa habari,ama watarudisha kadi kwenye mkutano wa hadhara unaoandaliwa na CCM Dodoma ,mkutano utakaofanyika mda wowote kuanzia sasa na wamependekeza Jk awepo.
Kwa mujibu wa chanzo cha taarifa hii kilichopo miongoni mwa waratibu wa mpango huo muovu dhidi ya CDM,kinadokeza vikao vya awali vilifanyikia katika mikoa ya Daressalam,Morogoro na sasa waratibu wa mpango huo, wapo mkoani Dodoma wakiendelea na uratibu huo kikao kilichoandsliwa kufanyikia Dodoma Hotel,
Mpango huu unaratibiwa na Samwel Malichela (Mtoto wa John Samwel Malichela ambaye anaungwa mkono na viongozi wa CCM jimbo la Mtera na Dodoma katika jitihada zake za kuhakikisha mbunge wa sasa jimbo la Mtera Livingstone Lusindekibajajianangolewa kwenye kiti cha ubunge uchaguzi ujao) kwa kushirikiana na viongozi wa CCM mkoa Dodoma kupitia kwa katibu mwenezi wa mkoa, katibu mkuu wa CCM mkoa wa Dodoma bwana Mgumba ambaye mpaka sasa ndiye alieidhinisha malipo ya kugharamia nauli ya kuwaleta madiwani wa CDM kutoka jimboni Mtera,gharama za ukumbi, malazi jumla ya fedha hiyo ni shili Laki 4 na elfu 70(470,000)
Na miongoni mwa magari yaliyotumiwa katika safari za kuratibu shughuli zote hizo za kutaka kuihujumu CDM ni gari namba T 645 CUG aina ya NADIA, Nyaraka zinaonesha mmliki wa Gari hilo ni bwana Kyamani Elpidius, ambaye hadi sasa haijulikani anajishughulisha na nini, Hata hivyo, mtoa taarifa anaendelea kupasha kuwa CCM hadi sasa wameingizwa mkenge kwani mpango uliopo ni kuwa, madiwani hao watajiunga na CCM kwa muda tu, baadae watarudi kujiunga na Chama kipya cha ACT wakati wa uzinduzi wake mwezi wa 9 mwaka huu.
Na mwisho wa siku wameahidiwa kupewa pesa yote ambayo wangelipwa kama madiwani kwa kipindi cha kuanzia siku watakayojiudhuru mpaka mwakani,pia katika sakata hili kuna mtu mmoja anatajwa kwa majina ya Gwakisa Burton anatajwa kuwa nyuma ya mpango huu.
- :angry:
Well put. Ingawa vyama vyote vya siasa ni bargaining platform ya wanasiasa duniani.Kila mara tuna sema, iliyokuwa CHADEMA imejengwa kwa misingi ya kibaguzi na kilaghai. Kama baadhi ya wanachama au viongozi wanapogundua kuwa ndani ya CHADEMA kuna ubaguzi na ulaghai basi ni haki yao kuondoka kwa amani kama baadhi yao wanavyofanya kwa sasa. Vile vile ni haki yao kuwaeleza wananchi kuhusu ubaguzi na ulaghai unaoendelea ndani ya CHADEMA.
Kwa hiyo unataka kuwaaminisha wanaJf kuwa viongozi wa CHADEMA wananunulika kwa maana nyingine, viongozi wa iliyokuwa CHADEMA wanatumia jina CHADEMA kama bargaining platform.
Chama chenye Itikadi na Sera zinazowaleta na kuwaunganisha wanachama na viongozi wenye malengo yatokanayo na Sera na Itikadi hakiwezi kutumika kama jukwaa la manunuzi ya wananchama na viongozi.
Haishangazi sana kwa sababu hata katiba ya CHADEMA kwa sasa imechakachuliwa na baadhi ya waliokuwa viongozi wakuu ili waendelee kuwepo madarakani ambapo matokeo yake kwa sasa wameamua kukimbia vivuli vyao na kujificha kwenye kikundi kinachoitwa UKAWA.
Wewe ni ke au me? Mh. Kikwete ana mke au unataka kuwa mke mdogo nini? GwalihenziKwanza jaribu kuheshimu majina ya watu kabla hujaanza kumwaga pumba zako, pili, hata kama wewe ni mke wa Ritz hukustahili kumjibia yeye kwani kijembe hicho yeye binafsi amekipokea kwa raha mstarehe!
Mkono wa mjinga na mwehu kama wewe huandika chochote popote hata chooni!Wewe ni ke au me? Mh. Kikwete ana mke au unataka kuwa mke mdogo nini? Gwalihenzi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Jumababu, Katika wote uliowataja hakuna aliyesema taarifa hiyo haina UKWELI ila walisema siyo CHADEMA iliyoweka mitandaoni. Hizo bilioni 3.6 zilirushwa bila umakini kwani karibu nusu ya wafuasi wake hawakuwa na dhamira ya dhati ya kumtumikia. Amini usiamini kuna watu wanne kati ya hao wafuasi wanazo meseji za mgao wa fedha hizo hadi leo sawa sawa na details za waraka husika. Hivyo USIMTETEE MSALITI!...Mkuu tenende, nimecheka sana hayo mambo Mnyika na Slaa si walikanusha? Mbona hamueleweki nyie? Ndo akili kubwa hii?
Tarehe 25/2/2012 saa 10:09 asubuhi, ZZKaliwatumia shilingi 150,000/= wafuasi wa kundi lake:
Baada ya hapo saa 10:32 asubuhi hiyohiyo ZZK kupitia namba yake ya simualiwatumia shilingi 200,000/=
- Juliana Shonza
- Habib Mchange
- Mtela Mwampamba
- Gwakisa Burton
- Eddo Makata
- Greyson Nyakarungu
- Deogratius Kisandu
- Adams Chagulani
- Exaud Mamuya
- Ben Saanane
Mkumbo Kitila na
John Shibuda
Kwani na nyie chadema ruzuku mnayo wakinunua mtu na nyie mnanunua! CCM ni kama Real Madrid kila mwanasiasa anataka kuchezea, pamoja na padri slaa.
Udini unakutesa sana!
kumbe wanaumwa halafu ccm ndio inawasaidia kuwatibu..hongera sana chama cha mapinduzi ...Ni Heri Kutawaliwa na Wakoloni Weusi (CCM) Kuliko Wakoloni WEKUNDU (Chadema) - DR. KITILA MKUMBO.
Acha unafiki, nani alisema demokrasia ni kuhama kutoka CCM au vyama vingine na kwenda CDM peke yake? Mbona Dr. Slaa alitoka CCM akaenda CDM, mbona Tindu Lissu alitoka NCCR akaenda CDM? Kwa nini kila anayetoka CDM kwa akili yako finyu unaamini kuwa amenunuliwa na siyo demokrasia?
Waraka wa usaliti unasemaji kuhusu bosi wenu na nyie wasaliti wengine? Soma:Sasa hapa si unaiharibia CDM kwa wanadodoma wote? Au CDM haitaki kura za Dodoma?
Udhaifu wa tunayemtaka:
Kuoa mtoto wa mfalme
- Maneno yake mara nyingine hayazingatii anayazungumza katika mazingira gani na hivyo kuwasha masikio ya wanataasisi jambo linalompunguzia kukubalika kwake taratibu.
- Kama ilivyo kwa maneno, kuna matendo pia ambayo mara nyingine huyafanya bila kuzingatia mazingira na wasikilizaji wake na hivyo kupunguza imani ya wana taasisi kwake.
VIKAO NJE YA NCHI!
- Katika taasisi zetu hizi ni muhimu sana kuepuka kufanya mambo yote wazi wazi hata kama ni mema ama ni haki ya mhusika ama si makosa katika jamii tuliyomo.
- Kuna mambo ambayo ni haki ya mtu mfano mahusiano binafsi ya kimapenzi, kuwa na marafiki wa damu kutoka upande mwingine wa utawala, nk.
- Lakini mambo hayo ni muhimu wakati mwingine ama kwa kiwango fulani yakafanywa kwa siri kuepuka mitazamo potofu kwa unaowaongoza.
DINI
- Vikao vyetu na yeye vitafanyika mara chache sana na mahali pa faragha kupita kiasi ikiwezekana hata nchi jirani.
- Kwa kuwa ni mwislamu. Hii ni fursa katika kupata kuungwa mkono na wanachama waislamu ambao wamekuwa na kigugumizi wakidhani waislamu hawatakiwi katika uongozi wa taasisi yetu.
iki chama cha kiboroloni kipo na dodoma..!??? Wamejitahidi..
Inaonesha hujui alichosomea slaa. Unadhani anaitwa dk wa nini?
Kwa kuwa ni mwislamu. Hii ni fursa katika kupata kuungwa mkono na wanachama waislamu ambao wamekuwa na kigugumizi wakidhani waislamu hawatakiwi katika uongozi wa taasisi yetu.
Kama kuna hata watu waliomsaliti Bwana Yesu, sembuse Chadema? acha watumikie tamaa ya nafsi zao!
Inaonesha hujui alichosomea slaa. Unadhani anaitwa dk wa nini?
Umewahi kusoma waraka wa usaliti?
Kililichokupeleka ACT ni ni kama si maneno haya ya kitila?