Madiwani wa CHADEMA Dodoma kujiunga na CCM

Madiwani wa CHADEMA Dodoma kujiunga na CCM

Si kwamba sijui!... Naelewa saana!... Hoja yako hapa unajitambulisha UISLAMU wako na CHUKI yako dhidi ya wakatoliki full stop!

Wakatoliki mbona hata ccm wapo tena wengi tu pengine kuliko huko chadema, the problem ni kuwa huko chadema umetamalaki na uchaga kwa upeo wa kutisha!
 
Hizi lugha zenu za kuwatukana wananchi wa eneo husika kisa tu lichama lenu limekataliwa sio ustaarabu hata kidogo...! Mbona hata sisi tunajua kuwa nyie bavicha akili zenu fyatu, viongozi wenu ndo hamnazo kabisa.

Ndivyo mnavyo fundishwa na viongozi wenu huko ACT?

Kitila anasemaje kuhusu nyie? Kumjenga ZZK mtatukana viongozi aliofanya nao kazi? Kwa hiyo yeye UFYATU hana?

Tutahakikisha tuko busy kupost mambo mema na mazuri yatakayokuwa yakifanywa na MM kila wakati na kuzidi kusambaza sifa zake njema kila inapotokea nafasi. Atakayefanya kazi hiyo ni sisi wengine wala si yeye! Pia tutahakikisha kila post ya kumchafua inapatiwa majibu bila kutumia ID yake inayojulikana.
Ni vema aidha akatupatia majibu na sisi kuyapost ama afungue ID mpya kabisa ambazo hazijawahi kuwepo kwenye mitandao halafu ndo awe anazitumia kujibu lakini kwa kuzingatia tuliyokwishayazungumza hapo juu yaani kutofanya kwa emotion na kuepuka jazba lakini pia kushauriana na watu wa karibu kabla ya kutoa majibu kwa jambo lolote linalomhusu.
 
Wakatoliki mbona hata ccm wapo tena wengi tu pengine kuliko huko chadema, the problem ni kuwa huko chadema umetamalaki na uchaga kwa upeo wa kutisha!

Sasa hapa tunakubaliana kwamba ACT mmeenda kujiepusha na wachaga na wakatoliki.. Ni lazima Zitto awe mwenyekiti na mgombea URAIS kwa sababu tu yeye ni mwislamu!.. Kwa hiyo ACT ilivyotamalaki UJIJI na kutangazwa kwenye nyumba za ibada ndicho kinachowaunganisha?
 
Sasa hapa tunakubaliana kwamba ACT mmeenda kujiepusha na wachaga na wakatoliki.. Ni lazima Zitto awe mwenyekiti na mgombea URAIS kwa sababu tu yeye ni mwislamu!.. Kwa hiyo ACT ilivyotamalaki UJIJI na kutangazwa kwenye nyumba za ibada ndicho kinachowaunganisha?

Sijawahi kuwa act plz.
 
Acha kuota Act! Tunamzungumzia dk!
Subiri nikupe elimu!... Humu ndani tuna makundi mawili tu.. Moja ni la wafuasi wa ACT ambao pia ni mashabiki wa CCM na kundi la pili ni la members wa CDM. Hilo ulilolileta la DK. linatamkwa tu na watu wa imani moja kuonyesha chuki za kidini dhidi ya wengine!
 
Sijawahi kuwa act plz.

Utaikana tu... Kwa taarifa yako, hakuna mwanachama nje ya ACT na CCM (ambavyo sasa vinatumia ofisi moja) mwenye hoja za UDINI na UKABILA kama zako... Hoja yenu iko hapa:
Tutahakikisha tuko busy kupost mambo mema na mazuri yatakayokuwa yakifanywa na MM kila wakati na kuzidi kusambaza sifa zake njema kila inapotokea nafasi. Atakayefanya kazi hiyo ni sisi wengine wala si yeye! Pia tutahakikisha kila post ya kumchafua inapatiwa majibu bila kutumia ID yake inayojulikana. Ni vema aidha akatupatia majibu na sisi kuyapost ama afungue ID mpya kabisa ambazo hazijawahi kuwepo kwenye mitandao halafu ndo awe anazitumia kujibu lakini kwa kuzingatia tuliyokwishayazungumza hapo juu yaani kutofanya kwa emotion na kuepuka jazba lakini pia kushauriana na watu wa karibu kabla ya kutoa majibu kwa jambo lolote linalomhusu.
 
Sijawahi kuwa act plz.

Naomba nisikuache hivi hivi. Nikukumbushe kuwa uliwahikuwa na maslahi na CHADEMA soma hapa!

Hata kabla viongozi wakuu wa CHADEMA hawajaondoka mikoa ya kusini, mwenyekiti wa UWT Sophia Simba anafanya mkutano mkubwa na kina mama (soma wapiga kura) mjini LINDI. Kwa maoni yangu CHADEMA waimarishe kitengo hiki, wasiwategemee kina Mbowe na Lema wazee wa kufoka foka!

Huyu mama atavuruga uokovu wa chadema kusini as huku wapiga kura wengi ni wanawake!

sophia simba bosi wa wanawake wa ccm yupo kusini kubanana na chadema, sasa hivi anaongea na wapiga kura halisi wa kusini
 
Ndumbayeye, unakumbuka hoja hizi mlizotoa na washirika wenzako wa ACT - JANA? Je, ni kweli ZITTO akiwa mwenyekiti wa ACT atakifanya chama hiki kuwa cha kiislamu? Je, kitawatenga wakatoliki na wachaga kama mnavyotuaminisha?
CC
Lizaboni
avec vous
Hapo kwa profesa Safari ni lazima cct watoe tamko!

Ndani ya CHADEMA waislam hawana nafasi. Prof Safari asahau kabisa

Chadema ni chama cha kanisa! Kuingia ikulu bado mna muda mrefu sana wa kungojea.
 
Niishie hapa!... UDINI na UKABILA hautaijenga ACT.. ACT ikipandikiza UDINI na UKABILA kupitia nyie wafuasi wake itapotea kwa UDINI na UKABILA!
Chadema nendeni kwa wananchi propaganda humu jf hazitafaa kitu
pembe, Mamndenyi, capito and 1 others like this.
Mnyika auliwe mwishoni mwa kipindi chake haiingii akilini, mnyika adhabu yake ni kuwa nje ya bunge 2015
MwanaDiwani and ifweero like this.
Usije ukasikia anaitwa Deo Munisi
 
Jumababu, Katika wote uliowataja hakuna aliyesema taarifa hiyo haina UKWELI ila walisema siyo CHADEMA iliyoweka mitandaoni. Hizo bilioni 3.6 zilirushwa bila umakini kwani karibu nusu ya wafuasi wake hawakuwa na dhamira ya dhati ya kumtumikia. Amini usiamini kuna watu wanne kati ya hao wafuasi wanazo meseji za mgao wa fedha hizo hadi leo sawa sawa na details za waraka husika. Hivyo USIMTETEE MSALITI!...
Kama huamini onana na wafuasi hao mmoja baada ya mwingine utapata taarifa!.. Wakikuruhusu chunguza meseji za tarehe hii.


Mkuu tenende nadhani hiyo stori hujui ilipoanzia au unapindisha makusudi kwa manufaa ya waliokutuma... Unajua nani aliianzisha? Na alisema walikuwa/cdm walikuwa wanamchunguza Zitto? Na ndo sababu Mnyika na Slaa wakakana? Sasa watu waliokuwa wakisema ndo waasisi wa huo uchunguzi kama wamekana huo uchunguzi kweli ulikuwepo? Hizi akili kubwa za siku hizi...
Tehe tehe kwi kwi kwi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kosa lililofanywa na chadema kumgusa muhimili wa chama Zitto Kabwe ,limekufanya chama kupukutika kama majani makavu juu ya mti.
Kiukweli Zitto amekiathiri chama kwa zaidi ya 70% ,na hii ni kutokana na mtandao aliokuwa nao katika chama nchi nzima,ni bora Zitto angepewa alichokuwa anataka kuliko kosa ambalo limekisambaratisha chama huku wajinga wachache wakijipa moyo kuwa mamluki wanaondoka ili chama kibaki safi.
Huenda hilo lina ukweli lkn ukweli ni kuws katka siasa ,chama kinakua kikubwa kutokana na idadi ya kura,Mwaka 2010 chadema ilipigiwa kura na watu ambao hata hawakuwa wana chadema,lkn kwa mwenendo wa sasa,chama kitakuwa cha nne kwenye uchaguzi mkuu ujao.
 
Mkuu tenende nadhani hiyo stori hujui ilipoanzia au unapindisha makusudi kwa manufaa ya waliokutuma... Unajua nani aliianzisha? Na alisema walikuwa/cdm walikuwa wanamchunguza Zitto? Na ndo sababu Mnyika na Slaa wakakana? Sasa watu waliokuwa wakisema ndo waasisi wa huo uchunguzi kama wamekana huo uchunguzi kweli ulikuwepo? Hizi akili kubwa za siku hizi...
Tehe tehe kwi kwi kwi... Sent from my iPhone using JamiiForums

Nenda kawadanganye Masalia. Hapa breki!.. Haya taarifa ya usaliti inaendelea kusema:

Siku sita baadae yaani Jumatatu ya tarehe 23/6/2008 saa 07:52 asubuhi, Zitto alipigiwa tena simu na Ramadhani Ighondu akimkumbusha maongezi yao waliyo fanya siku 6 zilizopita na kumuomba siku hiyo jioni waonane, ingawa Zitto alionekana kusita kidogo lakini baadae alikubali, Walikubaliana wakutane Sea Cliff Hotel, ilipofika jioni ya siku hiyo Zitto akiwa na marafiki zake wawili Omar Lyasa na Abdalah Said walifika Sea Cliff Hotel wakaketi na kuagiza vinywaji, Baada ya kama dakika kumi hivi Zitto alipokea simu ikimuelekeza alipo bwana Ramadhani Ighondu kisha Zitto akawaambia marafiki zake wamsubiri kidogo, akaondoka kuelekea aliko elekezwa…..
 
udini na ukabila uko chadema

Kwa nini Zitto anahitajika kwenye chama cha wasaliti alichokianzisha? Kwa nini ACT makao yake makuu yako Kigoma, tena UJIJI? Kitila anasema:
Kwa kuwa ni mwislamu. Hii ni fursa katika kupata kuungwa mkono na wanachama waislamu ambao wamekuwa na kigugumizi wakidhani waislamu hawatakiwi katika uongozi wa taasisi yetu.
 
Kosa lililofanywa na chadema kumgusa muhimili wa chama Zitto Kabwe ,limekufanya chama kupukutika kama majani makavu juu ya mti.
Kiukweli Zitto amekiathiri chama kwa zaidi ya 70% ,na hii ni kutokana na mtandao aliokuwa nao katika chama nchi nzima,ni bora Zitto angepewa alichokuwa anataka kuliko kosa ambalo limekisambaratisha chama huku wajinga wachache wakijipa moyo kuwa mamluki wanaondoka ili chama kibaki safi.
Huenda hilo lina ukweli lkn ukweli ni kuws katka siasa ,chama kinakua kikubwa kutokana na idadi ya kura,Mwaka 2010 chadema ilipigiwa kura na watu ambao hata hawakuwa wana chadema,lkn kwa mwenendo wa sasa,chama kitakuwa cha nne kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Ajenda yako ni kama ya KITILA? Kitila anasema:
Kwa kuwa ni mwislamu. Hii ni fursa katika kupata kuungwa mkono na wanachama waislamu ambao wamekuwa na kigugumizi wakidhani waislamu hawatakiwi katika uongozi wa taasisi yetu.

Kwa hiyo upo kazini kumsafisha?

Kitila anasema:
Tutahakikisha tuko busy kupost mambo mema na mazuri yatakayokuwa yakifanywa na MM kila wakati na kuzidi kusambaza sifa zake njema kila inapotokea nafasi. Atakayefanya kazi hiyo ni sisi wengine wala si yeye! Pia tutahakikisha kila post ya kumchafua inapatiwa majibu bila kutumia ID yake inayojulikana. Ni vema aidha akatupatia majibu na sisi kuyapost ama afungue ID mpya kabisa ambazo hazijawahi kuwepo kwenye mitandao halafu ndo awe anazitumia kujibu lakini kwa kuzingatia tuliyokwishayazungumza hapo juu yaani kutofanya kwa emotion na kuepuka jazba lakini pia kushauriana na watu wa karibu kabla ya kutoa majibu kwa jambo lolote linalomhusu.
 
Nani ACT hapa? Nafikiri you quoted me wrongly

Haya maneno hayapatikani nje ya wasaliti waliopo ACT!

quote_icon.png
By born again pagan

Hizi lugha zenu za kuwatukana wananchi wa eneo husika kisa tu lichama lenu limekataliwa sio ustaarabu hata kidogo...! Mbona hata sisi tunajua kuwa nyie bavicha akili zenu fyatu, viongozi wenu ndo hamnazo kabisa.
 
Back
Top Bottom