Madiwani Kwa Lowassa Wasusa

Madiwani Kwa Lowassa Wasusa

Ninyi madiwani mnasubili nini? Hamkuona mchakato ulivyo kwenda? Tumieni akili zenu kuchukua maamuzi. Muacheni kwanza Lowassa apumzike. Kwa usalama wake tangulieni kwanza .
 
Kuna msemo uliwahi pata kusemwa kuwa " Kelele za Chura Hazimzuii Ng'ombe kunywa Maji'. Kama Kweli wapinzani hawawezi kuishinda CCM bila ya kutegemea Defectors, then tuseme hakuna upinzani wa dhati na tujiandae kutawaliwa na CCM milele. Leo Alieitwa fisadi amekuwa jiwe la almasi kuu ya Pembeni. Leo yeye akihamia CDM hatokuwa msaliti kama kijana mliomlea, kumkuza na kumwandaa kuwa Kiongozi muda wake ukifika?

#Peace
 
Kinachoendelea huko Monduli mda huu, Safari ya kuimalisha upizani ipo imara sana vijana kwa wazee pia akina mama na Madiwani kumi na saba (17) wa CCM kuhamia CHADEMA leo.
attachment.php

munduli gani hii ya wavaa vitop na vimini. mwaka huu tutaona mengi. ila EL angetulia tu .na IPP media wamezidi mno kunogesha stories
 
watu wa kaskazini bwana!inamaana damage ya lowasa na ma nyinyiemu kwa taifa hili siyo issue?hebu tuwe na open mind.natokea kanda ya ziwa lakini sijawahi kushabikia ufisadi wa chenge na tibaijuka,na wala siwezi kumshabikia magufuli kwa sababu hizohizo.tatizo letu kubwa ni mfumo uliooza wa nyinyiem.tukin'goa huo basiiiiii.
 
Kuna msemo uliwahi pata kusemwa kuwa " Kelele za Chura Hazimzuii Ng'ombe kunywa Maji'. Kama Kweli wapinzani hawawezi kuishinda CCM bila ya kutegemea Defectors, then tuseme hakuna upinzani wa dhati na tujiandae kutawaliwa na CCM milele. Leo Alieitwa fisadi amekuwa jiwe la almasi kuu ya Pembeni. Leo yeye akihamia CDM hatokuwa msaliti kama kijana mliomlea, kumkuza na kumwandaa kuwa Kiongozi muda wake ukifika?

#Peace

Atakuwa msaliti anakotoka siyo anakokwenda ..............!!!

Hata akina Mtei walikuwa na kadi za CCM, REMEMBER!!
 
kumbe chanzo nipashe (team lowasa) siwaamini kabisa kwa taarifa zao
 
Nipashe wanatumika vibaya...ina maana hao wote matumbo yao yanamtegemea lowasa?
Wewe nadhani ndio unatumika vibaya wapi waliposema matumbo yao yamtegemea Lowassa, Jiongeze kiduchu wewe
 
Wewe nadhani ndio unatumika vibaya wapi waliposema matumbo yao yamtegemea Lowassa, Jiongeze kiduchu wewe

Ana kichwa cha kufugia nywele huyo sio kosa lake.
 
Sijawahi kushuhudia madiwani wenye akili fupi kama hawa wa monduli. Wafanye maandamano basi
 
Wamchague huyo EL wao awaongoze,lakini mtake msitake watanzania wamechoka kuongozwa na watu wasio waadilifu wanaonunua uongozi kama huyu mtu wenu.
 
Hakuna Kupoteza Muda,njooni CDM Mchukue Form Tukomboe Wamasai Toka Utumwani CCM
 
Back
Top Bottom