Tunaondoka na kadi haturudishi HAKUNA mahali sheria inasema kuwa kadi ni mali ya chama
walikuwa 38, mbona wengine hatusikii kelele zao huko wanapotoka mikoani....mwizi mkubwa huyo...mwambie aendelee kuchukia umaskini...wanamonduli ni matajiri maana kawatumikia kitambo sana..
Nchi haiongozwi na mafisadi hii...haturudii makosa.
Bado hawajajua..wanyakyusa nao wamalishwa sumu na kupigwa na vitu vizito sana.Soon nao watajitambua kwamba rais hawezi kutoka kwa wanyakyusa.Aliyesema raisi hatoki kaskazini alidhani atajipigia kura mwenyewe. Hii inakula kwao. Mikoa mingine mbona kimya? Nao waseme ya rohoni au kimya kimya wabadili fikra kuichanachana ccm kwenye sanduku la kura. Umdhaniae ndiye Kumbe siyo. Duhhh
Kinachoendelea huko Monduli mda huu, Safari ya kuimalisha upizani ipo imara sana vijana kwa wazee pia akina mama na Madiwani kumi na saba (17) wa CCM kuhamia CHADEMA leo.
![]()
we ni double standard ukabila na ukanda umekukamata kama lowasa hawaelewani na chama chake basi ulipaswa ushangilie ili kivunjikeKwako wewe tumbo ni muhimu sana..kweli wagaagaa na pwani ni shida..ndio maana waliiachwa na wauza watumwa
Nipashe wanatumika vibaya...ina maana hao wote matumbo yao yanamtegemea lowasa?
basi inapaswa tushangilie kuvunjika kwa mkoloni mweusi CCMJe inatosha kusema tu Nipashe inatumika au ulipaswa kutuambia ukweli wa kinachotokea huko ka EDO ili tuona jinsi Nipashe inavyo tumika.Mbona mahaba yatakutoa makengeza
haha..tangu lini wewe mgagaa na pwani ukajua maana ya double standard..huwa nyie zaidi kumeza kila kitu halafu na kuja kudai kuwa ni wasomi hamna ujanja.NIpo very consistent na malengo ya walio upande wangu.Ni wewe tuu mlemavu wa akili ambaye unatoka sehemu makapi ya watumwa yalitupwa.we ni double standard ukabila na ukanda umekukamata kama lowasa hawaelewani na chama chake basi ulipaswa ushangilie ili kivunjike