Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
SERIKALI imetangaza viwango vipya vya posho za madiwani ambavyo vitakuwa Sh250,000 kwa mwezi kuanzia mwezi huu.Viwango hivyo ni ongezeko la asilimia 108 katika kiwango ambacho kilikuwa kikilipwa hadi Juni mwaka huu cha Sh120,000.
KUMBE INAWEZEKANA
source Mwananchi
KUMBE INAWEZEKANA
source Mwananchi