Madiwani 10 wa CCM na UDP wajiunga na CHADEMA

Madiwani 10 wa CCM na UDP wajiunga na CHADEMA

mambo bado sana loading.............................30% tafadhali magamba subirini!!!
 
chadema moto hata huyo magufuli aangalie sana asije akawa msindikizaji ni mwaka wa chadema
 
Yaaani sasahivi jamii forum imekuwa tamu! mara 20 wajiunga cdm. mara msdiwan 10 wajiunga cdm safiiii sanaaaaa!
 
SISI ILEMELA TUNASEMA
Msitu(CCM) ni ule ule aliyebadilishwa ni nyani tu.
Hata CHATO penyewe MAGUFULI alishindwa sembese kanda nzima ya Ziwa?
 
Na bado. Kuna stori niliikuta mtaani kuwa mbunge wa Misungwi aligawa noti za kutosha jimboni kwake
 
Kwa yaliyotokea uchaguzi wa serikali za mitaa madiwani kibao hawana jinsi,unakuta kata ina vitongoji 7 halafu 6 wamenasa Chadema.ivi hapo diwani CCM utapitia wapi
 
Mungu aendelee kujibu maombi ya wanyonge wa nchi hii. Waislamu mumuombe Allah, Wakristo wamuombe Jehova, na wasio na dini pia wageukie hata mawe na wachawi Lucifer ccm ianguke mwaka huu.
 
SISI ILEMELA TUNASEMA
Msitu(CCM) ni ule ule aliyebadilishwa ni nyani tu.
Hata CHATO penyewe MAGUFULI alishindwa sembese kanda nzima ya Ziwa?

Wewe dogo,unaijua politik? Kabusi Peleka wapi aisee? haha,long tym dude..
 
hamkya nani ccm ina hali mbaya rafu za dodoma.zimeifikisha ccm icu
 
karibuni wakuu masisiem watabaki na vigodoro mwaka huu
 
Kanda ya ziwa ccm walifikiri wametoboa kumchagua magufuli, kumbe watu washusoma upepo siku nyingiiiiii ccm imechokwa sijui why hawataki kukubali huu ukweli.
 
Back
Top Bottom